Recent content by danielawit

  1. D

    Natamani sana kumuacha ila nashindwa

    Pole sana......jifunze kumsahau utamove on......
  2. D

    Nikipona mchepuko anakula kibuti maana haridhiki

    Duh........kaka! Michepuko ya chuo sikushaur
  3. D

    Kwanini upo single?

    Mimi nipo single sababu sijapata mwanaume sahihi anayenifaa
  4. D

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    Itakuwa ulipata mchaga wa mwaka 47..... Hujapata new model......hahaha utajutraaaa
  5. D

    Natafuta mchumba/mke ila tuishi kujaribiana kwanza

    Hahaha huyu kaka jaman kaniacha hoiiiii......duh
  6. D

    Mwanamke aliyetayari kuolewa njoo

    Mim nipo tayar ila sio mweupe .....hahahaha
  7. D

    Mchumba finally mke wa maisha

    Naona kaka kaweka vigezo kama umbo, rangi......safiii....wadada jitokezeni. Maaana tabia kaka atakupunguzia yake
  8. D

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    Fact....hiyo ni tabia ya MTU......kabila lipo tyuuuu
  9. D

    Naombeni ushauri: Moyo umevunjika, siamini msichana tena

    Pole sana bro, jifunze kusamehe kusahau na kumove on with ur life. Open ur heart for new relationship! Ila huyo mwanamke usirudi kwake asikuharibie tena maisha
  10. D

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    Pole sana kaka, mwanamke wa kabila lolote anafaa kuwa mke na kila mtu ana tabia yake. Unaweza ukaoa huyo mmeru wanaomtaka wao na ukajuta! Mim n mchaga n am proud to be chagga girl(superb
  11. D

    Ahsante mama nimekuelewa, samahani sana Irene wangu

    Wew ni kabila gan? Then ushaur ufuate
Back
Top Bottom