Tuliweka ahadi ya kuoana, leo amenigeuka

Tuliweka ahadi ya kuoana, leo amenigeuka

Kisicho rizki hakiliki hata uweke na kachumbari gani....

Subiri wa kwako muda ukifika
 
Mambo vipi wadau,

Mwenzenu yamenifika shingoni!

Binti tumehaidiana nimalize chuo niweke ndani, leo ananipa habari kuna mchumb kaja kwao, ukicheck life yangu bado sana. Nachoka.

Nimeumia sana.
'PROMISES ARE MADE IN ORDER TO BE BROKEN'
 
Mambo vipi wadau,

Mwenzenu yamenifika shingoni!

Binti tumehaidiana nimalize chuo niweke ndani, leo ananipa habari kuna mchumb kaja kwao, ukicheck life yangu bado sana. Nachoka.

Nimeumia sana.
Kawaidah hiyo mzee mwenzangu ..... Kaza moyo ...nyanyuka endelea na safari ......love is very complicated.... Cha msingi pambana kutimiza ndoto zako ....mkuu
 
Mambo vipi wadau,

Mwenzenu yamenifika shingoni!

Binti tumehaidiana nimalize chuo niweke ndani, leo ananipa habari kuna mchumb kaja kwao, ukicheck life yangu bado sana. Nachoka.

Nimeumia sana.


pole sana ila malizia masomo kwanza halafu baada ya hapo tengeneza maisha. wanawake wapo na wataendelea kuwepo
 
HAHAHA TAFUTA TU MAPENZI NDIO UPOFU KALAMZA MAN OF THE YEAR WE SI MAISH AYAKO BADO ..YE YUKO TAYARI KAKUTANA NA READY MADE
 
Wanaume ndio mbadilike sio kila cku i luv u so much bby, lazima pia uweke vitendo, na pia kumtambulisha kwa wazaz ndugu na mipango mingine ya kimaisha sio huelewk ukiulizwa ndoa chenga kibao kaja wenye lengo na anaonesha vitendo ndio akae akusubirie ww kila cku swaga, mjifunze sasa nakubadilika
Kwawanawake wetu waleo sio vzr kuwatambulisha home kama bado mipango yako yakuoa haipo tayar lasivyo utatambulisha wengi nautakuwa unaaibika kila Leo nahii sio kwaboy tu ila hata kwawanawake sio kila mtu mnamtambulisha home wakat wajua kabisa bado hamjawa tayar kwawakat huo kuoa/kuolewa.
 
Back
Top Bottom