Recent content by Dangote Jr

  1. Dangote Jr

    Hackers tukutane hapa!

    Asante sana. I appreciate your replies.
  2. Dangote Jr

    Hackers tukutane hapa!

    Thanks bro, CS Naipenda sana ila najua itanishinda kwa sababu somo la hesabu & Physics tangu nilipokua FORM II hadi FORM VI nlikua napata F. Itabidi tu nikapige IT sina namna. afu nimefatilia vyuo vya serikali ambacho entry qualifications zake hazihitaji pass ya Mathematics ni NIT tu...
  3. Dangote Jr

    Hackers tukutane hapa!

    Asante kwa usharudi bro ila mm kwenye mathematics na phyisics ni mbovu balaa. Nilitamani sana kusoma course mojawapo Kati ya Computer science, Computer engineering na IT. Nikafanya uchunguzi na kuona kwamba kati ya hzo kozi tatu zote, ni IT pekee ndo Haina mahesabu ndo mana pale Chuo cha NIT...
  4. Dangote Jr

    Hackers tukutane hapa!

    Asante sana nashukuru kwa ushauri.
  5. Dangote Jr

    Hackers tukutane hapa!

    Bro, mm ni mwalimu, Nina degree,, nimeajiriwa huku halmashauri ila mshahara ni kiduchu sana. Mm ninapenda sana technology issues but sina knowledge yyte about technology. Nataka niende nikachukue degree nyngne ya IT pale chuo cha NIT MABIBO. Unanishauri nijikite na field gan zaidi Kati ya cyber...
  6. Dangote Jr

    Kuna mahala wanuuza samsung A17 4gb ram/128gb kwa 380,000 wengine wanauza 500,000. Hii inaweza kuwa sababu ni nini haswa kimkakati na kimjini mjini?

    simu used znazouzwa madukani mara nyngi huwa zmetumika nchi za nje hasa hasa china, japan, usa, dubai. Je kati ya hzo nchi hapo kuna nchi ambayo inatumia Samsung A series?? au unaposema wanauza Samsung used unamaanisha nini?
  7. Dangote Jr

    Ni upumbavu mtu mweusi kuishi tamaduni za kiarabu

    Unaona kajitu kana ndevu panya buku😁😁😁😂😂😂😂😂☝️☝️
  8. Dangote Jr

    PostGE2025 MoU ya TEC na Serikali irudi Bungeni

    Hicho chuo chenyewe cha moro sio chao, ni mali ya wakatoliki. hawa waislamu walikuaga na majengo yao pale iringa mjini ambapo leo hii pana chuo cha wakatoliki (RUCO). Sasa wakatoliki waliyahitaji hayo majengo yaliyopo hapo iringa kwa hyo wakawajengea waislam hcho chuo cha moro as an exchange.
  9. Dangote Jr

    MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

    Nitajijuaje kama ninazo au sina hizo nguvu za kiroho?
  10. Dangote Jr

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    hello mwenye softcopy ya "POOR DAD RICH DAD" nakiomba
  11. Dangote Jr

    Wanawake karibia 90% waliozaliwa 2000s wametolewa bikira na walimu

    huwa mnatumia njia gan ili hao waschana wasipate mimba? mana si kila mtu anaweza kutumia condom. afu ukidakwa si kuna jela?
  12. Dangote Jr

    Ukiwa na kipaji kwenye hivi vitu fanya kama part time, wengi waliofanya serious wamepoteza muda na kukosa maendeleo

    kwa hyo kwa kuwa umeliset kwa muda mrefu ndo litakua goma kali? kubali ukweli kwamba ngoma ni mbovu au iachie hvo hvo uangukie pua.
Back
Top Bottom