Recent content by Dan Zwangendaba

  1. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Na nyie mmeliona hili kwa mabinti wa kuanzia 2000-2005?

    Yaani acha tu
  2. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Na nyie mmeliona hili kwa mabinti wa kuanzia 2000-2005?

    Utakapokuwa mkubwa utakuja kujua. Subiri ukue kidogo.
  3. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Ndio maana wanasema akili si nywele
  4. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Kwanza, naheshimu maamuzi yako. Pili bila kuzingatia kama nimewahi kuchit au hapana ila siwezi kusamehe aliyonichit na siwezi kumrudia niliyemuacha kama yeye ndiye aliyetaka aachwe.
  5. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Kwasababu hakuna ushahidi wa mwanaume kuchiti ila mwanamke akichiti iko siku atarudi na ushahidi tu.
  6. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mkwara wa Marekani: Eti Samia Suluhu anataka kumwaga Manyanga

    Hizi Harakati zenu bila mikakati ndio zunafanya kila siku muendelee kuwa vyama vya upinzani.
  7. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Mwanaume unaanzisha familia mpya anytime, watoto hawawezi kuwa chanzo cha kudhalilika asee. Mke akiondoka kwangu harudi hata kwa mtutu wa bunduki.
  8. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Nakubaliana na wewe mia fil mia. Kwanza wenye hela ya kubadilisha mboga wanapata wapi muda wa kukaa kinenani hadi half time! Yaani nisiwaze tanker zangu kama zimefika salama, nikawe busy kuitafuta SIKU YA GULIO!! Kweli?
  9. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    U Updates gani kwa mpira wa kitoto kama ule.
  10. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Mkuu, nature na dunia iko biased against blacks whether we like it or not.
  11. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Yaani acha tu. Imagine hata penalty wamekosa wao tu so far, alimradi waonekane vituko.
Back
Top Bottom