Recent content by Dan Zwangendaba

  1. Dan Zwangendaba

    Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana kuonesha tupu zao mitandaoni?

    Followers na Likes ni ugonjwa na uwendawazimu mkubwa sana unaoitafuna dunia kwa sasa hasa Afrika.
  2. Dan Zwangendaba

    Pamoja na Upuuzi wa Khamenei Lakin baada ya vita ya Kagera alitukopesha mataifa yote yakiwa yametutenga! Ila bado alikuwa mwema kipindi hicho

    Kuna watu na PhD zao wamekuwa brainwashed kuwa Israel ndio kila kitu. Hii vita kama ingekuwa Israel na Iran pekee sjui kama hadi muda huu tungekuwa na hata na panya huko Israeli. Chondechonde waisrael wa Goba hebu acheni ujinga wa kuipa sifa Israel isizo nazo.
  3. Dan Zwangendaba

    TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Just I thought you're among the GenZ! Kumbe ni category ya "wife materials".
  4. Dan Zwangendaba

    TBT: Wakuu wa Mikoa maarufu hapa TANZANIA, walijulikana mno na kila Mtanzania

    Ushaambiwa Mary chips unadhani chips zinapendwa mkoa gani ndugu😀
  5. Dan Zwangendaba

    TBT: Wakuu wa Mikoa maarufu hapa TANZANIA, walijulikana mno na kila Mtanzania

    Mbona hiyo list haina Mary Chipungahero au "Mary chips".
  6. Dan Zwangendaba

    Samia kasema amesikitishwa sana na kifo cha Kardinali Pengo. Hii 'Pole' mmeipokea?

    Pengo alikua mtu sana tena alikua kiungo muhimu kati ya katoliki na serikali tofauti na hawa wa sasa. Hivyo yumkini pole yake ni ya dhati kabisa. Ipokeeni.
  7. Dan Zwangendaba

    Mniombee ndugu zanguni. Sijui kama nitarudi salama

    Tena uzushi wa kiwango cha SGR
  8. Dan Zwangendaba

    Nimepiga pekupeku sana Kanda ya Ziwa

    Eti madak0 yao😀😀
  9. Dan Zwangendaba

    Utafiti: Utamu wa wanawake unatofautiana

    Yaani angejua kama Taifa analolipigania watu wake ndio hawa!
  10. Dan Zwangendaba

    Nina umri wa miaka 49 Natafuta mke awe na sifa zifuatazo

    Mzee lekchara huyo kustaafu hadi miaka 70 so bado yupo yupo sana tu na peirolu
  11. Dan Zwangendaba

    Baba Bora Hawezi Kutelekeza Watoto Wake Hata akiwa kwenye Ugomvi na Mzazi Mwenzie

    Usirithi adui wala rafiki. Subiri ukikua utawajua vizuri hao viumbe.
Back
Top Bottom