Pwani kimkakati ni eneo zuri kwq ajili ya viwanda na kilimo, wanaenda kutengeneza shida nyingine. Wataalam wa nchi hii sjui walisomea ujinga huko vyuoni?
Nadhani hawajalewa shida ilipo. Km 450 inawezekana kwenda masaa 3 lakini swali linaendelea kubaki kwa Barabara zipi za bongo? Labda siku hiyo kila kitu kiwekwe pembeni. Na bado utakutana na tuta hautaweza kupita hata na 100km/ h.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.