Recent content by Dan Zwangendaba

  1. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Hata Subaru SK9, cc ~2500 ni 🔥 kinoma
  2. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2-0 Geita Gold | NBC Premier League | Maj.Gen Isamuhyo Stadium | 31-08-2026

    Amecheza poa lakini aliyeichezesha timu leo ni Chilambo.
  3. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2-0 Geita Gold | NBC Premier League | Maj.Gen Isamuhyo Stadium | 31-08-2026

    Hivi Loemba hali kitu cha Arusha kweli?
  4. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 2-0 Geita Gold | NBC Premier League | Maj.Gen Isamuhyo Stadium | 31-08-2026

    Dumbia ni mchezaji tapeli flani hivi. Huyu Bakari Msimu naona haelewi kwamba anahitaji kugombania namba. Chilambo ni star boy mpya mjini. Nitashangaa leo asipokuwa MoM.
  5. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania FT: Fountain Gate 0-2 Young Africans SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Stadium | 31/08/2026

    Na yule jiga akachezeshe wapi
  6. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania FT: Fountain Gate 0-2 Young Africans SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Stadium | 31/08/2026

    Itakuwa ana udugu na kaka yake wa manyara anaitwa nani sjui, hata jina lake nimelisahau
  7. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania FT: Fountain Gate 0-2 Young Africans SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Stadium | 31/08/2026

    Kwanini marefa wanafanya makosa memgi ya kuipendelea Yanga katika kila mechi? TAKUKURU mko wapi? Kwa mfano mechi ya leo fault nyepesi za FG zinatolewa kadi ila Faulo nzito za Yanga hazina hata onyo la mdomo. Yaani refa anafurahia. Tunaupeleka wapi mpira wetu kwa upendeleo huu.
  8. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Kuhusu kuuzwa kwa kisiwa cha Lupita,Nkasi -Rukwa. Tanzania

    Sidhani kama ulisoma alichoandika muanzisha mada
  9. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Pwani unagawa kwa Wafugaji maeneo ya kufugia(Min Ranch)

    Siku hizi hadi Rufiji, Mkuranga, Kisarawe, Kibiti ni ng'ombe kwa kwenda mbele tu.
  10. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Pale wehu wanapoteteana😀😀
  11. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    Application of Game Theory
  12. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Kama mabasi yameambiwa tasipite ni sawa tu maana hayana mzigo wa kutisha kuharibu barabara kama zilijengwa kwa standard nzuri.
  13. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Hamna tozo ya maana wanayolipa kwa kupita barabarani labda manufaa yanapatikana kwa kutumia bandari na matumizi ya njiani.
  14. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania JF ina pisi Kali, kuna niliowaona Kwa macho yangu, sijawahi kutana na Mzee

    Tangu lini humu JF mada za warembo hazisindikizwi na picha?
Back
Top Bottom