Kwanza, naheshimu maamuzi yako. Pili bila kuzingatia kama nimewahi kuchit au hapana ila siwezi kusamehe aliyonichit na siwezi kumrudia niliyemuacha kama yeye ndiye aliyetaka aachwe.
Nakubaliana na wewe mia fil mia. Kwanza wenye hela ya kubadilisha mboga wanapata wapi muda wa kukaa kinenani hadi half time! Yaani nisiwaze tanker zangu kama zimefika salama, nikawe busy kuitafuta SIKU YA GULIO!! Kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.