Dumbia ni mchezaji tapeli flani hivi. Huyu Bakari Msimu naona haelewi kwamba anahitaji kugombania namba. Chilambo ni star boy mpya mjini. Nitashangaa leo asipokuwa MoM.
Kwanini marefa wanafanya makosa memgi ya kuipendelea Yanga katika kila mechi? TAKUKURU mko wapi? Kwa mfano mechi ya leo fault nyepesi za FG zinatolewa kadi ila Faulo nzito za Yanga hazina hata onyo la mdomo. Yaani refa anafurahia. Tunaupeleka wapi mpira wetu kwa upendeleo huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.