Recent content by Dan Zwangendaba

  1. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Pwani unagawa kwa Wafugaji maeneo ya kufugia(Min Ranch)

    Siku hizi hadi Rufiji, Mkuranga, Kisarawe, Kibiti ni ng'ombe kwa kwenda mbele tu.
  2. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Pale wehu wanapoteteana😀😀
  3. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Uganda Kujenga Kiwanda Kikubwa Cha Kusafisha Mafuta Cha Trilioni 56 Tanga.

    Application of Game Theory
  4. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Kama mabasi yameambiwa tasipite ni sawa tu maana hayana mzigo wa kutisha kuharibu barabara kama zilijengwa kwa standard nzuri.
  5. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Hamna tozo ya maana wanayolipa kwa kupita barabarani labda manufaa yanapatikana kwa kutumia bandari na matumizi ya njiani.
  6. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania JF ina pisi Kali, kuna niliowaona Kwa macho yangu, sijawahi kutana na Mzee

    Tangu lini humu JF mada za warembo hazisindikizwi na picha?
  7. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Mbona hii barabara si ya muda mrefu sana? By the time nilipopita ilikuwa mkeka sana. Anyway, malori ya nchi jirani hayo yashafanya yake.
  8. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Rais Samia Ikikupendeza Tuondolee Waziri Wa Kilimo aliyepo Tuwekee Makonda Awafanyie Kazi Wakulima Wadogo Wananyanyasika

    Ongeza na ule uhuni wa stakabadhi ghalani ambapo mkulima mnyonge anauza mazao yake kwa pesa zilizotolewa na mkulima mwenyewe.
  9. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Pwani unagawa kwa Wafugaji maeneo ya kufugia(Min Ranch)

    Pwani kimkakati ni eneo zuri kwq ajili ya viwanda na kilimo, wanaenda kutengeneza shida nyingine. Wataalam wa nchi hii sjui walisomea ujinga huko vyuoni?
  10. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Mpaka viumbe kutoka sayari ya Jupiter wamo humu
  11. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania Mke amuua mumewe kwa kumchoma kisu na kisha kutoroka akiwa ameacha watoto wadogo

    Yaani nikienda Arusha na Nairobi nakuwaga mpolee, sielewi yupi chalii, yupi falaa
  12. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania SGR vs BMW x3 F25

    Nadhani hawajalewa shida ilipo. Km 450 inawezekana kwenda masaa 3 lakini swali linaendelea kubaki kwa Barabara zipi za bongo? Labda siku hiyo kila kitu kiwekwe pembeni. Na bado utakutana na tuta hautaweza kupita hata na 100km/ h.
  13. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania SGR vs BMW x3 F25

    160km/h hata dakika 10 huwezi. Labda truck na bus zote zipigwe ban siku hiyo.
  14. Dan Zwangendaba

    JamiiForums Tanzania SGR vs BMW x3 F25

    Mada za weekend huwaga tamu sana.
Back
Top Bottom