Kuna watu na PhD zao wamekuwa brainwashed kuwa Israel ndio kila kitu. Hii vita kama ingekuwa Israel na Iran pekee sjui kama hadi muda huu tungekuwa na hata na panya huko Israeli. Chondechonde waisrael wa Goba hebu acheni ujinga wa kuipa sifa Israel isizo nazo.
Pengo alikua mtu sana tena alikua kiungo muhimu kati ya katoliki na serikali tofauti na hawa wa sasa. Hivyo yumkini pole yake ni ya dhati kabisa. Ipokeeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.