Why wengi humu huchangia on negative side? Unajua udactari ni wito idadi ya madactari na manesi ni ndogo, kuna anaefanya kazi bush peke yake anaingia kazini asubuhi alafu wakati anatoka anakuja mzazi anakaanae mpaka saa tisa usiku kesho asubuhi kazini hakuna posho watu kama vile hamjui kila siku...
Bila vitendea kazi dactari au nesi atakushauri tu, let say haspitali gloves zimeisha coz zililetwa chache so unategemea mama atazalishwaje? Serikali inabidi wasupply vitendea kazi vya kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.