Recent content by dalloboy

  1. dalloboy

    Huu ni ushauri wangu kwa Young Killer baada ya kutoa sinaga swaga

    Dogo mkali wewe hakuna kitu alichoharibu ,,yaan mech tu je wale waliokuwa CCM mbona bado mnawasapoti na mmeshasahau kabisa ,,, kuwa msanii hakumfanyi asiweze kuchagua anachokipenda
  2. dalloboy

    Huu ni ushauri wangu kwa Young Killer baada ya kutoa sinaga swaga

    Naona jamaa kapaniki [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  3. dalloboy

    Unamjua Maiko Jakson wa Tizii

    Hamnaga icho kitu mkuu
  4. dalloboy

    Jamani kwa hili ni na anapaswa kulaumiwa

    Mapenzi hayalazimishwi mkuu , toka kitambo manzi alikuwa hamuitaj sema jamaa alikuwa anaforce tu , usiniulize nilijuaje!!!!!
  5. dalloboy

    Jamani kwa hili ni na anapaswa kulaumiwa

    Nafikiri uandishi Wang sio inshu sana ikiwa tiari umeshaelewa , kuhusu kujitambulisha kwao ndio nipo mbioni kufanya hivyo japo wazaz wake wake wananielewa kuwa mimi ndio baba mtoto
  6. dalloboy

    Jamani kwa hili ni na anapaswa kulaumiwa

    Ni miezi kadhaa zmeisha sasa tangu nianze kudate na huyu bidada " stori inaanzia hapa nakumbuka niliwahi kuleta topic flani hapa ya kuhusu kupata mtoto mapema kabla age haijasogea sana.. but, tatizo likawa kwa mtu ambaye nilikuwa Nina mahusiano naye " ( Hakuwa tayari kupata mtoto kwa Mda huo ...
  7. dalloboy

    Karla Jacinto: Msichana aliyebakwa mara 43,000

    Duh!!!! People 30 per day ....sio mchezo
  8. dalloboy

    MWAKA 2016 kwa kheri nenda kama alivyoenda MAMA

    Pole sana kwan kuondoka kwa mama dunia hii n kama umebak mwenyewe .... hayupo ambaye atakuwa na moyo kama wa mama ,, tuwapende mama zetu ingali wakiwa hai na tuwaheshimu siku zote .... Mm kwang mung hata akininyima utajiri ni sawa imradi tu amenipa zawadi iliyo bora na wala haiishiwi thaman sku...
  9. dalloboy

    Nissani extra inauzwa

    Hata kama punguzo lipo ..... Kuanza na bei kubwa kiasi hicho ni kufukuza Wateja pia" ningemwona Wa maana kama angeliona na hilo
  10. dalloboy

    Nissani extra inauzwa

    Hahahahah nafwaa
  11. dalloboy

    Nissani extra inauzwa

    Hahahahah jf kiboko aisee.....et house boy
Back
Top Bottom