Hahahahah jf kiboko aisee.....et house boyHouseboy kaamua kuandika kwa niaba ya tajiri, kaweka cha juu 12m,hiyo ni 5-7m
Hahahahah nafwaaWatu wamebet wameliwa na mhindi sasa wameamua kubet kwenye magar
Hata kama punguzo lipo ..... Kuanza na bei kubwa kiasi hicho ni kufukuza Wateja pia" ningemwona Wa maana kama angeliona na hiloJamani mme - elewa tangazo la bwana dalali ?
Nissan extra inauzwa bei mil 17 mazungumzo yapo.
Inamaana bei inaweza kushuka iwapo mnunuza ataafiki bei yake aliyopanga.
We must read between the lines pls msiwaaribie wa2 biashara zao.