Jamani kwa hili ni na anapaswa kulaumiwa

dalloboy

JF-Expert Member
May 31, 2016
314
246
Ni miezi kadhaa zmeisha sasa tangu nianze kudate na huyu bidada " stori inaanzia hapa nakumbuka niliwahi kuleta topic flani hapa ya kuhusu kupata mtoto mapema kabla age haijasogea sana.. but, tatizo likawa kwa mtu ambaye nilikuwa Nina mahusiano naye " ( Hakuwa tayari kupata mtoto kwa Mda huo , sababu akadai kuwa bado hajatimiza ndoto zake) Nikaona isiwe shida kila mmoja achukue 50 zake .... Basi nikaanza kutafuta kwa aliye tiari ila nikiwa na kitu kimoja kichwani" kwamba siwezi tena kuwa na msichana ambaye atakuwa chini ya 25 years , maana hao ni wasumbufu tu wanakuwa hawana msimamo, basi nikampata mdada flan hivi mzuri mzuri, nikamuapproach jibu likawa Yes, ila alikuwa na mshikaji wake,but walikuwa wametibuana so nafkiri hiyo ndo ilikuwa njia rahisi ya kunikubali haraka... Basi maisha yakaendelea na huyo jamaa ake akaja kufungwa sjui ni nn kilitokea mpaka akawekwa lupango, nafikiri anajua mwenyewe alichokifanya mpaka ikawa hivyo, Kwetu mapenzi yakaendelea na nikamwambia nia yangu ya kutaka mtoto bahati nzuri akanielewa baada ya miez 2 kitu kikajaa upendo kwake ukaongezeka maradufu, tumeendelea hivyo muda Wa kutoka mshikaji ukafika akawa ametoka , alivyotoka akawa amepata habari kuwa bibie ana mshikaji mwingine na wameshakaribia kupata mtoto , Acha alete varangati et akadai siku atakayoniona basi ndo utakuwa ndo mwisho wa maisha yangu , nashangaa siku moja tumekutananae wala hakufanya chochote badae nikaja kuskia maneno et siku nikiingia kwenye 18 zake ataniteketeza vibaya , hapo akamfata mama kija wangu ila mama kija Wang nae mbabe akamwambia kuwa hamtaki na wala hataki kumsikia , ila jamaa akadai et mm ndo atanifanyia kitu kibaya , Jaman mwenye ushauri au ambaye alishapitia haya nahitaji msaada wenu saana ......... NB: huyu jamaa ana makundi ya wahuni wengi ndicho nachohofia ila pia sioni noma kufa kishujaa ... Nimemalizaaaaaa
 
Huu uwandishi ni wa mwendo kasi, huyu mama kija umeshafanya taratibu za kujitambulisha kwao? Kama mkuu alivyosema awali, nenda kaandike statement polisi.
 
Huko siyo kufa kishujaa, ni kufa kizembe! Kwanini ujihusishe na mwanamke asiye wako, pamoja na kwamba hajaolewa ila alikuwa kwenye mahusiano, wewe ndo ulivuruga, kwo jiandae kwa lolote either kutolewa kolomeo
 
Huu uwandishi ni wa mwendo kasi, huyu mama kija umeshafanya taratibu za kujitambulisha kwao? Kama mkuu alivyosema awali, nenda kaandike statement polisi.
Nafikiri uandishi Wang sio inshu sana ikiwa tiari umeshaelewa , kuhusu kujitambulisha kwao ndio nipo mbioni kufanya hivyo japo wazaz wake wake wananielewa kuwa mimi ndio baba mtoto
 
Huko siyo kufa kishujaa, ni kufa kizembe! Kwanini ujihusishe na mwanamke asiye wako, pamoja na kwamba hajaolewa ila alikuwa kwenye mahusiano, wewe ndo ulivuruga, kwo jiandae kwa lolote either kutolewa kolomeo
Mapenzi hayalazimishwi mkuu , toka kitambo manzi alikuwa hamuitaj sema jamaa alikuwa anaforce tu , usiniulize nilijuaje!!!!!
 
1,Katie ripot police force
2,kajitambulishe kwao.
3,hauna mikono?au miguu?mwanaume wenzako anakutishia maisha?mface alafu mpe hovyo Kali.akizingua MPE vitasa.
 
Nafikiri uandishi Wang sio inshu sana ikiwa tiari umeshaelewa , kuhusu kujitambulisha kwao ndio nipo mbioni kufanya hivyo japo wazaz wake wake wananielewa kuwa mimi ndio baba mtoto[/QUOTEUjumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi.
 
Back
Top Bottom