Wadau nikitaka kununua Gari toka Zanzibar ntalazimika kulipia kiasiki gn km ushuru pamoja na registration ya namba za huku bara?...hapa pia naona kunachangamoto ya kisiasa jamuhuri moja plate number tofauti?!!
Kuna maana gn basi kuwa mtoto wa Rais na kusotea madaladala?! Nashauri acha dogo ale bata na ikiwezekana hako kachumba cha chuo akatumie kwa kupumzika tu mchana.Mfumo wa maisha yetu ni wa kibepari na si kijamaa tena hakuna sababu ya kutokwa povu kisa mtoto wa Rais kapanda VX. Tena ingekuwa mm...
Umekopeshwa.... lipa deni suala la majina halikuhusu na mbaya zaidi una shauri na wengine eti wasilipe !? Defaulter wahed!!! Fikra hizi ni mbaya mdau kwanza hujui watu wangapi wataathirika na thread km hii mbaya zaidi huna data ni majina mangapi yamepote pili vyuo vyote vinavyopokea fungu toka...
Wana jamii ningepanda kujua maana halisi ya chuma ulete kwani zaidi najua mtu anaye weza kuchukua hasa pesa kwa ki mazingira ndio huita chuma ulete. kuna siku jamaa mmoja alinikuta nanunua bidhaa duka ni a kaja kwangu na kuniomba shilingi Mia moja . nilikuwa na kiasi cha shilingi kadhaa mkononi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.