Recent content by daktari feki

  1. daktari feki

    Mliotahiriwa na ganzi eti ni kweli kwamba ile sindano ili kupata ganzi huwa ina athari baadaye?

    Hilo swali ukimuuliza dada yako anaweza kukupa tathmini sahihi.
  2. daktari feki

    CCM yatangaza kuachana na siasa za kibabe na kurudi kwenye siasa zake za asili za Upendo na Urafiki mwema!

    Safi sana. Kwa hiyo habari za ubabe na kutekana zitabaki historia siyo?
  3. daktari feki

    Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

    Kamanda Sirro, suspect mwingine huyu hapa. Kushabikia uhalifu ni uhalifu pia.
  4. daktari feki

    Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

    Badala ya kulaumu majambazi unamlaumu rais! Chuki zenu kwa mama Samia zitaisha lini? Unataka kutuaminisha kipindi cha huyo mjomba wako uhalifu haukuwepo? Roma, Mo Dewij na matukio ya maiti kuokotwa kwenye viroba ni kipindi cha utawala upi vile? Tukio la kushambuliwa Tundu Lissu nalo hukumbuki...
  5. daktari feki

    Nifanyaje kuhusu Ugomvi huu?

    Kama ni wa kiume itakuwa ni uzembe flan hv. Iko hivi, katika hali ya kunyanyasika, mwanaume anayejua uchungu wa maisha huweza kuyaanza mapambano ya maisha hata kwa mtani wa elfu kumi. Cha mhimu asibague kazi, ajitahidi kuwa mwenye tabia nzuri ili asiwe kero kwa wengine na zaidi ya yote amuombe...
  6. daktari feki

    Nifanyaje kuhusu Ugomvi huu?

    Kwa jinsi ulivyoandika kwa tone ya kulalamika, inaonekana wewe ni binti. Manyanyaso yakizidi tafuta limjamaa muanze kuyajenga maisha mdogo mdogo. Beleave me! UTAKUJA KUNISHUKURU.[emoji1787][emoji1787]
  7. daktari feki

    Waziri Ummy: Marufuku Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuingiza Siasa kwenye taaluma ya Uuguzi

    Sabaya angalia mdogo wangu huu mtego unaweza kukuramba.
  8. daktari feki

    Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

    Sasa kama wanakataa na taarifa hazitolewi. Wewe umepata wapi taarifa kiongozi wangu?
  9. daktari feki

    Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

    Taratibu muumini wa uzima na ufufuko. Chanjo ni mhimu endapo itaonekana balaa limezidi. WHO ndo chombo pekee kitakachothibitisha ama chanjo itumike au isitumike. Binafsi nitachanjwa bira shuruti, kabla ya kuchanjwa nitaacha maelekezo kwa ndugu zangu juu ya uwezo wa bishop Gwajima wa kufufua...
  10. daktari feki

    Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

    Kama side effect ni kuganda damu na kufa so tutegemee nchi zilizochanja raia wake kubaki mashamba matupu na mahame?
  11. daktari feki

    Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

    Umeanza vizuri ukamaliza kipumbavu
  12. daktari feki

    Spika Ndugai mbona CUF na CCM waliwafukuza wanachama wake hukudai muhtasari wala Katiba, kwanini udai kwa CHADEMA?

    Chadema iliwahi kumvua Zitto uanachama, mbona huyo supuka hakuomba katiba? Jibu ni eidha maelelezo ya shujaa wa afRiCa ama dunga ana intEreSt zake.
  13. daktari feki

    Siku 52: Tanzania bila Magufuli

    Kwa hiyo bado mnao?
  14. daktari feki

    Siku 52: Tanzania bila Magufuli

    Bora ufe kwa kukosa huduma za afya kuliko kupotezwa kwa kutekwa. Usiombe zama za utekaji ni nouma.
Back
Top Bottom