YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Chadema inajindhhoofisha yenyewe kwa nini msiite mkutano wa baraza kuu kama katiba inavyosema mumalize hilo tatizo?Inaonekana wazi ni mipango ya ccm kuidhoofisha chadema kwa namna yoyote ile.
Chadema inajindhhoofisha yenyewe kwa nini msiite mkutano wa baraza kuu kama katiba inavyosema mumalize hilo tatizo?Inaonekana wazi ni mipango ya ccm kuidhoofisha chadema kwa namna yoyote ile.
Weka katiba zao zinavyosema hapa kuhusu kufukuza mtu uanachamaYEHODAYA
Hebu nikuulize swali jepesi tu, kwani CCM na CUF ya Profesa Lipumba walipowafukuza wabunge wao, walifukuzwa na kikao cha Baraza Kuu??
Kama wao CCM na CUF ya Lipumba, waliwavua uanachama wabunge wao, kwa kupitia vikao vya CC vya vyama vyao, iweje Leo chama cha Chadema, kitumie njia hiyo hiyo, itokee Spika Ndugai anagomea maamuzi ya CC ya Chadema??
Hivi kwani Spika Ndugai hivi sasa amekuwa mhimili wa mahakama??
Chadema iliwahi kumvua Zitto uanachama, mbona huyo supuka hakuomba katiba? Jibu ni eidha maelelezo ya shujaa wa afRiCa ama dunga ana intEreSt zake.Mtaweka thread nyingi wee za kuponda Ndugai weee hatoki mtu hadi baraza kuu Chadema muitishe litoe uamuzi
Hizi kelele zenu za kuanzisha thread kila dakika kuponda Ndugai wakati solution mnaijua ni kuitisha tu baraza kuu litoe maamuzi mnaonyesha mlivyojaa ujinga vichwani mwenu
Walikimbizana hadi mahakamani na CHADEMA au umesahau?Chadema iliwahi kumvua Zitto uanachama, mbona huyo supuka hakuomba katiba? Jibu ni eidha maelelezo ya shujaa wa afRiCa ama dunga ana intEreSt zake.
Huyu ana ugonjwa kama mwendazake.Hakika inashangaza na kustajabisha kwanini spika aliyeapa kuulinda na kuitumikia katiba ya nchi leo ndio anakuwa kiongozi tena wa mhimili anaivunja Katiba kwa makusudi na kuteteta uvunjaji wake wa Katiba na Serikali kupitia Mwanasheria mkuu wa Serikali ipo kimya.
Spika huyo huyo aliwahi kuwafukuza wabunge 8 wa cuf baada ya mwenyekiti wa CUF Prof.Lipumba kumwandikia barua Spika Ndugai ya kumtaarifa juu ya kufukuzwa kwao na kuwaapisha wengine haraka na Spika Ndugai hakudai muhtasari wala katiba ya CUF. Kama haitoshi Spika Ndugai huyo huyo aliwahi kumfukuza mbunge Sophia Simba baada ya chama chake cha CCM kumfukuza uanachama na hatukumsikia Spika Ndugai kudai muhtasari wala Katiba ya CCM je kwanini CHADEMA ndio wanatakiwa kupeleka muhtasari
Na katiba ya chama?
Ni wazi suala hili spika ndugai inawezekana ana maslahi binafsi na hao wabunge fake 19 na ukimya wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na tume ya uchaguzi kutokujibu barua ya CHADEMA kwa miezi 5 sasa na pia kitendo cha DPP kumtoa mmoja wa hao wabunge mahabusu ili akaapishwa vitendo vyote hivyo vinaashiria ni mpango uliopangwa.
Tatizo ni pesa kutoka jumuiya ya madola, wasipokuwepo wabunge wa upinzani kuongoza baadhi ya kamati hizo pesa hawatapewa. kipindi hicho kulikuwa hakuna hilo hitaji.Hakika inashangaza na kustajabisha kwanini spika aliyeapa kuulinda na kuitumikia katiba ya nchi leo ndio anakuwa kiongozi tena wa mhimili anaivunja Katiba kwa makusudi na kuteteta uvunjaji wake wa Katiba na Serikali kupitia Mwanasheria mkuu wa Serikali ipo kimya.
Spika huyo huyo aliwahi kuwafukuza wabunge 8 wa cuf baada ya mwenyekiti wa CUF Prof.Lipumba kumwandikia barua Spika Ndugai ya kumtaarifa juu ya kufukuzwa kwao na kuwaapisha wengine haraka na Spika Ndugai hakudai muhtasari wala katiba ya CUF. Kama haitoshi Spika Ndugai huyo huyo aliwahi kumfukuza mbunge Sophia Simba baada ya chama chake cha CCM kumfukuza uanachama na hatukumsikia Spika Ndugai kudai muhtasari wala Katiba ya CCM je kwanini CHADEMA ndio wanatakiwa kupeleka muhtasari
Na katiba ya chama?
Ni wazi suala hili spika ndugai inawezekana ana maslahi binafsi na hao wabunge fake 19 na ukimya wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na tume ya uchaguzi kutokujibu barua ya CHADEMA kwa miezi 5 sasa na pia kitendo cha DPP kumtoa mmoja wa hao wabunge mahabusu ili akaapishwa vitendo vyote hivyo vinaashiria ni mpango uliopangwa.
Kuleni kichwa , wacheni maneno mengi, spika wa aina hii anaitia aibu Nchi,MATONYA MWEREVU SANA.CCM MNATUKOSEA SANA KUPITIA SPIKA/NAIBU WAKE.
SUKUMA na TAGA wewe.Chama cha wachagga/kikabila. Soon kinapotea kwenye ramani
Basi ngono kwa hao mothers ni tamu sana..kama viongozi wanatoa kafara m.12*19 per month kisa ngono..huo utamu si huu ninaoujua mm.Hiyo ni mipango waliyoipanga tangu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019,uchaguzi mkuu 28 Otober 2020 waliostahili wasiwepo bungeni kwa mujibu wa sheria wameingizwa kimabavu kwa sababu ya rushwa ya ngono.
Kikao cha Baraza kuu hakiitishwi kwa matakwa ya mjinga mmoja anayesigina katiba ya nchi, bali kwa kufuata katiba ya chama.Chadema inajindhhoofisha yenyewe kwa nini msiite mkutano wa baraza kuu kama katiba inavyosema mumalize hilo tatizo?
Waulizeni hao wabunge wenu kwenye kikao cha Baraza KUU Wako tayari kuwaelezeni huko mbona mnakuwa wazito kwa hilo? wakati wao wako tayari kuwaambia kila kitu,Mnakwepa nini? wabunge wenu wapo na wana utayari ninyi mnagomea nini?hoja ya msingi ni kuwa CHADEMA haijawahi kuteua wabunge wa viti maalum. Yeye aliletewa na nani majina ya hao covid 19?
Bahati mbaya tuna spika ambaye hana chembe ya hekima wala uadilifu.Waulizeni hao wabunge wenu kwenye kikao cha Baraza KUU Wako tayari kuwaelezeni huko mbona mnakuwa wazito kwa hilo? wakati wao wako tayari kuwaambia kila kitu,Mnakwepa nini? wabunge wenu wapo na wana utayari ninyi mnagomea nini?
SUKUMA na TAGA wewe.
Babu yako Magufuli alijifanya lkn kaiacha chadema ipo hai.
Suala sio kufanana kwa Katiba suala ni Viambatanisho Tumia Akili ya Binadamu acha kutumia za mbwaMleta mada swali katiba zao ziko sawa na ya Chadema kuhusu wanachama kufukuzwa uanachama? Ya CHADEMA INATAMKA WAZI KUWA Baraza kuu ndio final zao zinasema hivyo?
Pili Unajua kuwa waliambatanisha au la kwani wewe ulikuwa Spika uliyepokea hizo barua?
Mnakwepa kwepa tuu itisheni baraza kuu litoe maamuzi kama katiba yenu inavyosema.Mnataka serikali isimamie katiba ya nchi ninyi ya kwenu tu Chadema inawashinda.Itisheni mkutano wenu wa baraza kuu mumalize hilo jambo mnajaza server za jamii forums bure
Chadema chama cha hovyo sana .