Mimi nilitahiriwa bila ganzi, hivyo sijui!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!
Ndiyo maana baadhi ya makabila hayaruhusu watoto kutahiriwa hospital!
Je ni kweli!? Kama kuna hanithi humu naomba ajitokeze kutoa ushuhuda!
Lakini naomba kujua, kuna baadhi ya taarifa katika jamii kuwa ile sindano ya ganzi inayochomwa kwenye mapumbu hubaki kwa athari ya baadae!
Ndiyo maana baadhi ya makabila hayaruhusu watoto kutahiriwa hospital!
Je ni kweli!? Kama kuna hanithi humu naomba ajitokeze kutoa ushuhuda!