adonack
Member
- May 16, 2021
- 55
- 24
Ndugu zangu, kuna mambo flani huwa yananichanganya
Kuna mtu mmoja tunaishii naye nyumbani (mimi nakaa kwa baba mdogoo bado sjafanikiwa kujitegemea). Mtu huyu ana nafasi kubwa kwa baba yangu mdogo zaid yangu, anasomeshwa chuo.
Pia, huyu mtu amekua akinifanyia mambo ya ajabu ni mtu wa kuninunia ovyoo kunisema kwa watu kama kuna mtu ni rafiki kwangu basi atagombana naye yaani kwa upande mwingine nadhani hata kuniona pale hataki na mimi sina cha kufanya kwasababu sina sauti kwa baba mdogo zaidi yake na mpaka sasa siishi kwa amani kabisa
Tunaishi na mfanyakazi wa ndani na shemeji yake na baba mdogo na kutokana na huyo mtu wamekua wakinitengaa.
Kuna mtu mmoja tunaishii naye nyumbani (mimi nakaa kwa baba mdogoo bado sjafanikiwa kujitegemea). Mtu huyu ana nafasi kubwa kwa baba yangu mdogo zaid yangu, anasomeshwa chuo.
Pia, huyu mtu amekua akinifanyia mambo ya ajabu ni mtu wa kuninunia ovyoo kunisema kwa watu kama kuna mtu ni rafiki kwangu basi atagombana naye yaani kwa upande mwingine nadhani hata kuniona pale hataki na mimi sina cha kufanya kwasababu sina sauti kwa baba mdogo zaidi yake na mpaka sasa siishi kwa amani kabisa
Tunaishi na mfanyakazi wa ndani na shemeji yake na baba mdogo na kutokana na huyo mtu wamekua wakinitengaa.