Wasabato ni ANTICHRIST. Yesu Kristo alipoagiza watu wabatizwe kwa jina la Baba, MWANA na ROHO Mtakatifu kwani huo sio UTATU MTAKATIFU? Ni upumbavu kudhani kila mapokeo hayampendezi Mungu.
Bora hayo yanayo waangusha maana yanakemewa na KUTOKA. Hayo yasiyo waangusha kwa USTAARABU BANDIA ndio yanawafanya wawe na ROHO MBAYA wengine mpaka WANAJIUA. Au wazungu na matajiri HAWAJIUI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.