Recent content by dafity

  1. dafity

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Hii ya kushea resume kwa WhatsApp Huwa naiogopa sana
  2. dafity

    Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    Soon na yeye atakukamata wakutatue marinda na video zako zitasambaa online
  3. dafity

    Jua kali...!

    New York wanalihitaji sana hilo JUA. Jana wamekufa wa 18 kwa baridi Kali.
  4. dafity

    Breaking news Kanisa la Wasabato Kenya lawatimua kazi Wachungaji 19 kwa madai ya kwenda kinyume na mafundisho ya kanisa ikiwamo Utatu Mtakatifu

    Wasabato ni ANTICHRIST. Yesu Kristo alipoagiza watu wabatizwe kwa jina la Baba, MWANA na ROHO Mtakatifu kwani huo sio UTATU MTAKATIFU? Ni upumbavu kudhani kila mapokeo hayampendezi Mungu.
  5. dafity

    Mada ya kitimoto: Nyama inayajadiliwa na kutawaka mijadala mingi duniani

    Nguruwe waliona Bora wafe kuliko kukaa na majini LAKINI nyie mnayafuga MAJINI. Je ninyi na Nguruwe huoni Nguruwe WANA AKILI ZAIDI KULIKO NINYI?
  6. dafity

    Ila wakristo bana, mnaanzaje kusema Yesu ni Mungu hali ya kuwa yeye mwenyewe anakataa

    Wewe subiri kwenye pepo ya Allah upewe wanawake 70 wenye MATAKO MAKUBWA kama Quran isemavyo
  7. dafity

    NMB kuchaji zaidi ya shilingi 5,000 kwa huduma ya Bank Statement ni sahihi?

    Mwisho wa Financial Year wakisema wamepata faida Billion 300 ndio ujue zinatoka kwenu wateja
  8. dafity

    Kwanini wazungu na matajiri hawaangushwi na mapepo?

    Bora hayo yanayo waangusha maana yanakemewa na KUTOKA. Hayo yasiyo waangusha kwa USTAARABU BANDIA ndio yanawafanya wawe na ROHO MBAYA wengine mpaka WANAJIUA. Au wazungu na matajiri HAWAJIUI?
  9. dafity

    Video: Misikiti na majengo yatiwa kiberiti Iran

    Plan yenyewe ni ipi wakati wanazidi kukaa?
  10. dafity

    Post ya CIA imenifikirisha: Wamelisifia Ziwa Malawi (Ziwa Nyasa) pasipo kuitaja Tanzania!

    Ukiangalia Google maps ziwe lote lipo Malawi hakuna hata kipande chetu chochote wakati Msumbiji wao ni 50/50 na Malawi. Nomeshangaa sana. Ndio maana rais wao Joyce Banda alizua TAHARUKI wakati ule wa JK Mgogoro haujatatuliwa hadi sasa
Back
Top Bottom