Recent content by DADY SMART

  1. DADY SMART

    NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Mtaalamu wa kubisha ,Mkuu umesomea kubisha Kuna makabila hapa Tanzania wao ni kubisha tu ,Mkuu wewe ni muha wa kigoma? Waha wa kigoma wana tabia kama zako,Wao ni kubisha tu Kuna muda huwa nasoma unachoandika na kuona haupo ok kichwani ,Ni kama dishi limeyumba hivi au ndio mambo ya...
  2. DADY SMART

    Namuunga mkono Rais Samia kwa kumpongeza na kummiminia sifa Paroko kwa kuendesha Ibada ya kumuaga Lukuvi kwa Nidhamu. Padre Charles Kitima ajifunze

    Ok ROMA LOCUTA CAUSA FINITA huu ndio msimamo wa wakatoliki ,Papa akiongea au Askofu mkuu akiongea hakuna muumini wa kupinga Ukipinga wewe hama nenda kaanzishe kanisa lako ,Hakuna kubembelezana katoliki Father kitima ni katibu wa TEC,msimamo wa TEC ndio msimamo wa kanisa Hujui maana ya kanisa...
  3. DADY SMART

    Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    Wewe wa Mwanza au Mbeya ,Timu za wazaramo wa Dar zinakuhusu nini? Shabikia timu za mkoa wako,Dar ni pwani na zanzibar ni Pwani
  4. DADY SMART

    Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    Hizo ni timu za wazaramo,Wewe mzaramo
  5. DADY SMART

    Nipe uzoefu wako kuhusu Songea/Ruvuma

    Masasa ni halmashauri ,Songea ni manispaa Kuna utofauti mkubwa halmashauri ,Manispaa na Jiji Huwezi sema Jiji la Mbeya sawa na Manispaa ya Iringa Masasi ni halmashauri tu ,Huduma za muhimu masasi hakuna mpaka uende lindi mjini au Mtwara mjini na mangine Songea
  6. DADY SMART

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Kwani Pengo alikuwa kiongozi wa kanisa katoliki Tanzania? Kardinali Pengo alikuwa Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam,Nguvu ya Pengo ni Dar es salaam tu Katoliki wana majimbo makuu zaidi ya sita,na kuna majimbo ya kawaida mengi tu Hakuna Askofu aliye juu ya mwenzake Askofu mkuu wa...
  7. DADY SMART

    Maisha hayawezi kuwa kama zamani

    mmmmh ,Dunia hadaa ulimwengu shujaa Usimdharau Mamba kabla hujavuka mto Ni vyema tukatoa kauli nzuri kwani hujui kesho yako Jifunze kwa wagonjwa ambao nao walikuwa wanapiga kelele kama wewe leo wapo hoi kitandani hawakumbuki risasi bali wanatamani tu kuliona jua nje Maisha ni fumbo kuna...
  8. DADY SMART

    Kama UN kupitia Katibu Mkuu wake wamekiri na kusema kuwa Tanzania hakuna tatizo Wewe Mwananchi unapata wapi nguvu ya Kuichafua nchi Kimataifa?

    Mkuu haupo sawa kichwani,Una tatizo ambalo wewe unajiona upo sawa lakini mbele ya jamii unaonekana kituko Umri unazidi kwenda lakini bao unataka uonekane una miaka ishirini
  9. DADY SMART

    Young Africans (YANGA) inaongozwa kwa misingi ya Kiislam na ndio imani kuu ya waanzilishi wa Pwani

    Upumbavu ni kutofahamu historia yako mwenyewe Kila kitu kina historia yake na hata wale wanaojiunga kwenye vyama vya siasa kuna misingi yake ni rahisi mtoto wa Mwigulu,Ridhwani au Nape kuwa waziri hapo baadae kwani misingi inarithishwa Angalia mazoezi ya Yanga au mikutano ya Yanga kama kuna...
  10. DADY SMART

    Young Africans (YANGA) inaongozwa kwa misingi ya Kiislam na ndio imani kuu ya waanzilishi wa Pwani

    Baada ya jana kufungwa nimeshangaa kuna watu wanasema wanaiombea yanga maombi,Yanga inaongozwa kwa DUA , Wazee wa Yanga wale wazee wa kanzu ambao timu wameirithi toka kwa wazee wao nadhani ukitamka mambo ya sala kwao itakuwa dharau kubwa
  11. DADY SMART

    Young Africans (YANGA) inaongozwa kwa misingi ya Kiislam na ndio imani kuu ya waanzilishi wa Pwani

    Wale watu wa bara waliovamia Dar es salaam kama wanahitaji uongozi Yanga watambue falsafa na misingi ya timu ya Yanga kuwa inaongozwa kwa Dua Ni swali la kujiuliza watu kutoka bara na ambao hawajakulia eneo la Pwani bali wamejikuta mashabiki wa Young Africans au Yanga hawaelewi misingi ya timu...
  12. DADY SMART

    FT Nsingizini 0-3 Simba SC | CAF CL | Second preliminary round Leg 1 of 2 | Somhlolo National Stadium| 19.10.2025

    Inaitwa Young Africans maana yake Vijana wa kiafrika Hilo Yanga ni waswahili wenye timu yao huko Pwani yaani maustadh ndio badala ya Young wanatamka Yanga Yanga inaongozwa kwa dua za kiislamu,Hakuna ukristo Yanga Fuatilia mazoezi yao na hata mikutano yao toka enzi inaongozwa kwa misingi ya...
  13. DADY SMART

    Thamani ya Yanga ni Tsh. Bilioni 100, Simba ni Tsh. Bilioni 20

    Mkuu umesoma Fedha Kuna kitu kinaitwa Present Value,Market Value , Real Value,Future Value Mfano Umenunua Gari milioni 40 leo,Hii ni Current Value lakini leo hii unaweza uliza bei la gari hilo hilo unataka kuliuza ukaambiwa Market Value au Bei ya soko ni milioni 30 kumbuka hiyo ni siku moja...
Back
Top Bottom