Recent content by DADY SMART

  1. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Huenda pakatokea mivutano ya kikatiba itakayopelekea fujo na vurugu katika mkutano wa Baraza kuu la CHADEMA taifa Septemba 15,2026

    Mkuu tafuta kazi ya kukuingizia kipato.Muda unaopoteza hapa JF kuandika propaganda utaukumbuka uzeeni Hakuna atakayekulipa pension kwa kushinda JF uzeeni,Fanya kazi
  2. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Millenials ninayemkubali Diamond Platnumz, But kwenye Live Alikiba ni Balaa!

    Acha ujinga,Hakuna mambo ya vizazi vya millenial au Gen Z Tanzania.Huo ni mfumo wa Marekani na watu wake pamoja na baadhi ya nchi za ulaya Mfano vizazi vya Marekani na ulaya vilivyoshiriki vita kuu ya pili ya dunia vilivyorudi toka vitani walirudi na pesa wakaanza kula bata na maisha ya kuzaa...
  3. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania UKWELI MCHUNGU: Hakuna kitu CHADEMA itapata na kufanikisha bila kwenda kwenye meza ya Mazungumzo. Watasambaratika kama mchanga ardhini

    Tafuta kazi ya kufanya,Familia yako haitakukumbuka ulikuwa unashinda JF
  4. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kupata ushindi wa 100% uchaguzi mkuu wa 2030 baada ya chama cha vibaraka na maadui wa amani, usalama na umoja wa taifa letu kujulikana

    Mkuu,Tafuta kazi ya kufanya.Familia yako haitakukumbuka ulikuwa unashinda JF
  5. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Ni kweli mshahara wa CAG ni 4.7Million?

    Prof Assad anasema yeye akiwa university kama mwalimu alilipwa 4million baada ya kupata UCAG ikaongezeka 700k yaani total Gross CAG ni 4.7M Net pay ni 3.3milion Maximum salary kwenye Government ni TZS ngapi ? Kwa directors Mwenye updated information za salary scales mpya ,Please share Kama...
  6. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Update za government salary scheme na mashirika yake

    Mwenye PDF au Excell inayoonyesha scale za mishahara za serikali na taasisi zake ,Please share Nimeshangaa CAG anasema mshahara wake ni 4 .7M Pia range ya mishahara ya Directors wa taasisi
  7. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kituo cha Afya Kindimbachini - Mbinga kuna Mtumishi wa Umma anauza dawa za Taasisi kimnyemela

    Mkuu huko kindimba mvua ikinyesha kuna pitika siku hizi? Hongera mkuu
  8. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Chief Justice, this is not fair! Lissu ameteseka sana gerezani, why postpone his case? Muamue moja mnaloona linamfaa

    Mkuu uwe na akiba ya maneno,Usijimalize sana Maisha ni safari kuna wakati unaweza jikuta yamekufika
  9. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna raia wengi wa kigeni tunafanyanao kazi ya Bodaboda huku Kigoma na wengine wana ID za Kura ambazo si zao

    Boko Chama hii ya kuelekea Bunju ,Duka lipo kuelekea Ununio ? Amepanga fremu za kanisa au ni opposite na kanisa ?
  10. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Umri mkuu. Umri ukifika mambo mengi unaona ni utoto hasa kujibishana hapa JF Hata mitoko inapungua inafika muda hata vinywaji unakunywa nyumbani na familia badala ya bar Kila kitu na wakati wake yawezekana amefika maturity age ni umri wa kujitambua unajikuta unathamini familia zaidi kuliko...
  11. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Mtaalamu wa kubisha ,Mkuu umesomea kubisha Kuna makabila hapa Tanzania wao ni kubisha tu ,Mkuu wewe ni muha wa kigoma? Waha wa kigoma wana tabia kama zako,Wao ni kubisha tu Kuna muda huwa nasoma unachoandika na kuona haupo ok kichwani ,Ni kama dishi limeyumba hivi au ndio mambo ya...
  12. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Namuunga mkono Rais Samia kwa kumpongeza na kummiminia sifa Paroko kwa kuendesha Ibada ya kumuaga Lukuvi kwa Nidhamu. Padre Charles Kitima ajifunze

    Ok ROMA LOCUTA CAUSA FINITA huu ndio msimamo wa wakatoliki ,Papa akiongea au Askofu mkuu akiongea hakuna muumini wa kupinga Ukipinga wewe hama nenda kaanzishe kanisa lako ,Hakuna kubembelezana katoliki Father kitima ni katibu wa TEC,msimamo wa TEC ndio msimamo wa kanisa Hujui maana ya kanisa...
  13. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    Wewe wa Mwanza au Mbeya ,Timu za wazaramo wa Dar zinakuhusu nini? Shabikia timu za mkoa wako,Dar ni pwani na zanzibar ni Pwani
  14. DADY SMART

    JamiiForums Tanzania Kwaheri Tanganyika: Mechi zote kubwa za Simba na Yanga kuchezwa Zanzibar

    Hizo ni timu za wazaramo,Wewe mzaramo
Back
Top Bottom