Mtaalamu wa kubisha ,Mkuu umesomea kubisha
Kuna makabila hapa Tanzania wao ni kubisha tu ,Mkuu wewe ni muha wa kigoma?
Waha wa kigoma wana tabia kama zako,Wao ni kubisha tu
Kuna muda huwa nasoma unachoandika na kuona haupo ok kichwani ,Ni kama dishi limeyumba hivi au ndio mambo ya...
Ok
ROMA LOCUTA CAUSA FINITA huu ndio msimamo wa wakatoliki ,Papa akiongea au Askofu mkuu akiongea hakuna muumini wa kupinga
Ukipinga wewe hama nenda kaanzishe kanisa lako ,Hakuna kubembelezana katoliki
Father kitima ni katibu wa TEC,msimamo wa TEC ndio msimamo wa kanisa
Hujui maana ya kanisa...
Masasa ni halmashauri ,Songea ni manispaa
Kuna utofauti mkubwa halmashauri ,Manispaa na Jiji
Huwezi sema Jiji la Mbeya sawa na Manispaa ya Iringa
Masasi ni halmashauri tu ,Huduma za muhimu masasi hakuna mpaka uende lindi mjini au Mtwara mjini na mangine Songea
Kwani Pengo alikuwa kiongozi wa kanisa katoliki Tanzania?
Kardinali Pengo alikuwa Askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es salaam,Nguvu ya Pengo ni Dar es salaam tu
Katoliki wana majimbo makuu zaidi ya sita,na kuna majimbo ya kawaida mengi tu
Hakuna Askofu aliye juu ya mwenzake
Askofu mkuu wa...
mmmmh ,Dunia hadaa ulimwengu shujaa
Usimdharau Mamba kabla hujavuka mto
Ni vyema tukatoa kauli nzuri kwani hujui kesho yako
Jifunze kwa wagonjwa ambao nao walikuwa wanapiga kelele kama wewe leo wapo hoi kitandani hawakumbuki risasi bali wanatamani tu kuliona jua nje
Maisha ni fumbo kuna...
Mkuu haupo sawa kichwani,Una tatizo ambalo wewe unajiona upo sawa lakini mbele ya jamii unaonekana kituko
Umri unazidi kwenda lakini bao unataka uonekane una miaka ishirini
Upumbavu ni kutofahamu historia yako mwenyewe
Kila kitu kina historia yake na hata wale wanaojiunga kwenye vyama vya siasa kuna misingi yake ni rahisi mtoto wa Mwigulu,Ridhwani au Nape kuwa waziri hapo baadae kwani misingi inarithishwa
Angalia mazoezi ya Yanga au mikutano ya Yanga kama kuna...
Baada ya jana kufungwa nimeshangaa kuna watu wanasema wanaiombea yanga maombi,Yanga inaongozwa kwa DUA ,
Wazee wa Yanga wale wazee wa kanzu ambao timu wameirithi toka kwa wazee wao nadhani ukitamka mambo ya sala kwao itakuwa dharau kubwa
Wale watu wa bara waliovamia Dar es salaam kama wanahitaji uongozi Yanga watambue falsafa na misingi ya timu ya Yanga kuwa inaongozwa kwa Dua
Ni swali la kujiuliza watu kutoka bara na ambao hawajakulia eneo la Pwani bali wamejikuta mashabiki wa Young Africans au Yanga hawaelewi misingi ya timu...
Inaitwa Young Africans maana yake Vijana wa kiafrika
Hilo Yanga ni waswahili wenye timu yao huko Pwani yaani maustadh ndio badala ya Young wanatamka Yanga
Yanga inaongozwa kwa dua za kiislamu,Hakuna ukristo Yanga
Fuatilia mazoezi yao na hata mikutano yao toka enzi inaongozwa kwa misingi ya...
Mkuu umesoma Fedha
Kuna kitu kinaitwa Present Value,Market Value , Real Value,Future Value
Mfano Umenunua Gari milioni 40 leo,Hii ni Current Value lakini leo hii unaweza uliza bei la gari hilo hilo unataka kuliuza ukaambiwa Market Value au Bei ya soko ni milioni 30 kumbuka hiyo ni siku moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.