Naamini wewe ni maskini wa kutupwa na maskini ndio walivyoKama una uchungu naye Basi nenda ukakaae naye ndani ya Kuta za gereza
Naamini wewe ni maskini wa kutupwa na maskini ndio walivyoKama una uchungu naye Basi nenda ukakaae naye ndani ya Kuta za gereza
Kama una uchungu naye Basi nenda ukakaae naye ndani ya Kuta za gereza
Kama una hasira sana basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani na hata MbinguniKama wewe ulivyoenda kukaa kwa mwanaume mwenzio anakupakua kila leo
Tatizo la Tanzania uhuni umetamalaki. Judicial Service Commission inaweza kujazwa commissioners ambao ni kazi maalumu. Matokeo yake, kazi ya CJ anapewa mtu ambaye ni chaguo la mtawala. Nchi inaishia kupata CJ kazi maalumu!Masaju ni jaji wa wanamtandao kama ilivyokua kwa Chande, huyu ni zao la mwanamtandao JK kutoka enzi zile kama AG , ni vyema watu tupate katiba mpya nafasi ya CJ isiwe appointment bali merit based badala ya mtindo wa kufanya recycling ya takataka tukiamini tutapata end product bora bila proper vetting.
Hivyo ni kidampa anayepokea order kutoka kwa wanamtandao.
Wenzetu hizi nafasi hutangazwa wazi na usaili wake huwa wazi pia.
View attachment 3605244
Nchi kama Kenya , judiciary huwezi kukuta inaburuzwa hivi.
Kitendo cha Magufuli kuwapitisha wakuu wa mikoa kama walezi wa mahakama tayari ni mahakama zilikua zimeshatiwa pingu.Tatizo la Tanzania uhuni umetamalaki. Judicial Service Commission inaweza kujazwa commissioners ambao ni kazi maalumu. Matokeo yake, kazi ya CJ anapewa mtu ambaye ni chaguo la mtawala. Nchi inaishia kupata CJ kazi maalumu!
A la RostamMAHAKAMA YA TANZAGIZA SIO MHIMILI UNAOJITEGEMEA.
TUJIFUNZE KUWA WAELEWA.
TUNAUMIA KWA SABABU HATUPO TAYARI KUUKUBALI UKWELI
Ukweli utakuweka huruA la Rostam
Hapo wanamkomoa tu LissuNi SIASA mkuu
Hamna kesi hapo!?
Atakiwasha hahahhahahaNi vema mkamhukumu mnavyoona/ mnavyopenda kuliko haya mateso mnayompa.
Ajue moja, ananyongwa au anafungwa au anaachiwa.
Mwamwindi wa Iringa, aliamua moja akalitimiza, akamuua Kleruu na Mwalimu Nyerere akaamua moja akamnyonga. Nanyi amua moja mlitimize.
Why postpone his case?
Mkuu uwe na akiba ya maneno,Usijimalize sanahakuna haja ya kua na kiherehere dhidi ya uhuru wa mahakama za Tanzania.
ulikua wapi kumshauri huyo mtuhumiwa unaedai anapewa mateso asifanye makosa yanayokiuka sheria na katiba ya nchi?
acheni unafiki nonsense jukwaani![]()
kwamba maoni na mtazamo wangu huru juu ya mambo mbalimbali humu jukwaani nibaki nayo chumbani kwangu right?Mkuu uwe na akiba ya maneno,Usijimalize sana
Maisha ni safari kuna wakati unaweza jikuta yamekufika

Tunahitaji comprehensive reform!Kitendo cha Magufuli kuwapitisha wakuu wa mikoa kama walezi wa mahakama tayari ni mahakama zilikua zimeshatiwa pingu.
Mkuu wa mkoa ni sharti awe kada wa CCM na mteule wa mwenyekiti wa CCM je atakaidi amri hata kama ni haramu?
Itolewe iyo nafasi uone km magereza zitatosha!Kama una uchungu naye Basi nenda ukakaae naye ndani ya Kuta za gereza
Ullimuamini?😏😏Jaji Mkuu akiongea utafikiri mtu kumbe ndiyo wale wale tu, mara kibao anakemea waendesha mashitaka kwenda kuegesha kesi mahakama ya Rufaa, lakini hachukui hatu kukomesha uhuni huu.
Lissu ana Roho ngumu sana anazidi kunenepanna kung'aa au na yeye anatuzugaKonachonifuraisha ni kwamba Lissu halegei Wala hatokegea abadani ni km Bob Marley baada ya lile tukio la kupigwa risasi 1976 lkn akatokea kwenye concert na wimbo ambush in the night!