DADY SMART
Member
- Apr 24, 2025
- 43
- 92
Prof Assad anasema yeye akiwa university kama mwalimu alilipwa 4million baada ya kupata UCAG ikaongezeka 700k yaani total Gross CAG ni 4.7M
Net pay ni 3.3milion
Maximum salary kwenye Government ni TZS ngapi ? Kwa directors
Mwenye updated information za salary scales mpya ,Please share
Kama CAG ni 4.7 M mbona huo ni mshahara mdogo kwa cheo chake na sifa?
Je Gavana naye atakuwa below 5milion
Net pay ni 3.3milion
Maximum salary kwenye Government ni TZS ngapi ? Kwa directors
Mwenye updated information za salary scales mpya ,Please share
Kama CAG ni 4.7 M mbona huo ni mshahara mdogo kwa cheo chake na sifa?
Je Gavana naye atakuwa below 5milion
