Sio mwaminifu. Km aliapa kiapo cha ndoa naAakamsaliti mke akazaa na Nyumba ndogo na kuhamia huko je? Akipata demu mwingine s atahama ikulu! Na kusaliti kiapo cha uraisi? Na kwa mujibu wa Mtikila, alihonga Nyumba ya serekali kwa Malaya wake. Je sasa sio yuleyule?
Msidanganywe hata mtoto wa diwani wako hasomi kata. Kuna jambo zito nyuma ya pazia. Kuweni na uweledi wa kifikra! Huyu jamaa ni waziri miaka 20 na watoto wanaungaunga elimu huoni kuna jambo hapo? Watu wake wa nyumbani wanatushangaa watanzania kumpa nchi baba yao. Hakuwaa anajua watoto wanasoma...
Hata kiwete alianza na maisha bora kwa kila mtanzania. Lkn mnajua kilichotokea. Tatizo ni ccm mfumo. Na mfumo huyo ndio ulomweka kuw raisi. Hana jipya mtasubiri sn.
Utakuwa umetupiwa jini Fulani hivi, (kombora) nenda kwa mtalamu na km huna mtaalamu nitafute nikupe mawasiliano yake. hiyo ni issue ndogo sn. lkn pole kwa kujaribiwa kimtindo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.