HahahahahHebu nipe nafasi nione km na ww utaweza kunitunzia siri zangu ama vp
Wengine penye mapungufu ndo tunataka tujaribu. Ana bahati mie sio shoga yake
Nimeamini jf inawaharibu sana,hivi na wewe kweli unaamini stor kama hii yani ni porojo tu hamna kitu hapa.
Haaahahh! Hivi umesahau enzi zangu nilikuwa silali. Nimenunua smart phone hamisi ina whatsapp na jf.Mwajuma nani kakununulia bando leo? Manake si kawaida yako kuwepo kwa muda wote huu.
Haaahahh! Hivi umesahau enzi zangu nilikuwa silali. Nimenunua smart phone hamisi ina whatsapp na jf.
Sinsung. LohSimu gani? Tekno au Huawei?