OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,673
- 120,347
Naombeni kujua bei za bidhaa muhimu kama mkate,sukari,mchele,unga,panadol nk,huko Zimbabwe kwa rais Mugabe.Inasemekana bei ni kubwa sana kutokana pesa kushukusha thamani kutokana na vikwazo vya Wazungu.