Recent content by daddymor

  1. D

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Una moyo wa ziada Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Hatari sana aisee. Hadi naogopa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

    Naomba kuuliza, kuna wakati nawaza au huja fikra kuwa nimepata kazi au dili fulani ambayo hujiona nimetatua mambo kibaoooo halafu hujisikia nafsi yangu imepata nafuu na kutulia ilhali kiuhalisia mambo magumu kinoma..... Nini maana yake kuwa na hisia kama hizo? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

    Hii nitaitest Sent using Jamii Forums mobile app
  5. D

    Malaika kwenye kiwiliwili cha binadamu

    Daaaah inagusa mno...... Waweza toa chozi
  6. D

    Kongamano kubwa la wachawi kufanyika mwaka huu Tanzania

    Kongamano la wachawi??? Halafu kiingilio bure??? Sasa wenye sifa za kuingia Ni wachawi tu au?? Maudhui ya hilo Kongamano Ni nn?
  7. D

    Ujanja na utapeli wa tigo

    Hawa tigo wanazingua sana. Hata ukijiunga Bando bila kuwasha data Ukiangalia Salio la MB Unakuta hamna. Kuna siku nikaenda ofisini kwao kuwaeleza na nikajiunga MB hapo hapo ofisini kwao bila kuwasha data ili waone na wakashuhudia na kukosa maelezo
  8. D

    Kwanini ukimwangalia usoni aliyelala huamka?

    Asante Mshana kwa elimu hii. Ni-tag ukipost haya maujuzi
  9. D

    Mwanaume wa kuzaa nae!

    Nakuja
Back
Top Bottom