Naomba kuuliza, kuna wakati nawaza au huja fikra kuwa nimepata kazi au dili fulani ambayo hujiona nimetatua mambo kibaoooo halafu hujisikia nafsi yangu imepata nafuu na kutulia ilhali kiuhalisia mambo magumu kinoma..... Nini maana yake kuwa na hisia kama hizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa tigo wanazingua sana. Hata ukijiunga Bando bila kuwasha data Ukiangalia Salio la MB Unakuta hamna. Kuna siku nikaenda ofisini kwao kuwaeleza na nikajiunga MB hapo hapo ofisini kwao bila kuwasha data ili waone na wakashuhudia na kukosa maelezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.