Habari zenu wana JF. Natumai ni wazima wa Afya kwa wale wagonjwa mwenyezi mungu aweze kuwaponya na kuwapa nguvu kama zamani.
Nilikuwa naomba msaada wenu mimi kama kijana mwenye uchu wa maendeleo na ninayependa kujikwamua kiuchumi.
Nipo arusha na nina project yangu nimeindaa ya ufugaji wa kuku...
Jaman humu ndani mpo mwezi wa 8 ndo huu hamna mwenye tetesi zozote kuhusu hizo nafasi kama kweli ni mwezi wa 9 wengine tumesitisha mambo mengine kuzisikilizia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.