Recent content by Dactar wizzy

  1. D

    Mh. Mwigulu Nchemba azidi kudhihirisha kuwa ni chaguo la Watanzania wengi

    ujinga tu mi naona hanachochote zaidi ya ufisadi,,anadigree moja tu naile katoka chuo tu eti kesho waziri ahahaha alafu watu wanamasters wanawageuzwa wajinga unajuwa waliompa cheo wanataka achote mkwanja wauchaguzi au unajuwa watanzania Bado wajinga "PIGA VITA UJINGA,UMASKINI NA MARADHI"...
  2. D

    Mh. Mwigulu Nchemba azidi kudhihirisha kuwa ni chaguo la Watanzania wengi

    Bome-e ] Wapi huyu mwana mipasho?c ndo alikuwa bot wakati wa upigaji EPA.Hatuitaki ccm. BOME-E MIAKA MIA KUMI.
  3. D

    Mwanasheria mkuu wa Zanzibar ajitoa katika uandishi wa Katiba

    katiba ya chama cha ccm nyiee subirini ipitishe arafu mniambie kitakacho tokea inamaana kwenye katiba kunamashinikizo ya watu ndomaana watu wanajitoaa jiulize kwanini vitu vilivyounda combination tangu mwanzo kama sheria wamevivunja baada ya ukawa kutoka bungeni iliwazidi kuwageuza wananchi...
  4. D

    Kituo cha polisi Geita chavamiwa, Askari wauawa!

    POLICE NA MAJAMBAZI, MAJAMBAZI NA POLICE KWA RAIA WANAWAONEA TU "unajua nilichomaanisha lakini? #92dallars
  5. D

    Shehena ya pikipiki za CHADEMA awamu ya pili zapokelewa makao makuu

    kwenye herikopta walitoa macho,acha wayatoe macho zaidi MI SINA CHAMA ILAHUWANAVUTIWA NA HARAKATI ZA CHADEMA ZINAZOFANYIKA AMANI YAKUTOSHA KWENU WANACHADEMA WOTE
  6. D

    92dallars

    Hii ndo A.k.A ya DODOMA a.k.a BLACK CITY a.k.a DOM CITY a.k.a MJII MWEUSII #92dallars
  7. D

    92Dallars

    asanteni wote nimerudi tena #92dallars
  8. D

    Mwisho wa Wanawake huu hapa!

    Ahahahaha hii kali ya mwaka weka nusu 92DALLARS
  9. D

    Bunge la katiba

    ETI Hii katiba inayotungwa BUNGENI sikatiba ya CHAMA KABISA sio KATIBA YA WANANCHI,,kila nikifuatilia Vipengere vya Rasimu niliyonayo na Vipengele vya Rasimu inayotumika bungeni ni TOFAUTI KABISA,,,inamaana INATUNGWA KATIBA YA WANA CCM TU hata wajumbe wake wako wengi ndani "KATIBA YA CHAMA CHA...
  10. D

    Jamani nielewesheni maana sielewi#

    92Dallars (CHAMA CHEUSI a.k.a BLACK PART)
  11. D

    Jamani nielewesheni maana sielewi#

    Naomba mnisaidie jinsi yakuludisha account yangu ya facebook (dactar wizzy) ambayo inashea email moja na namba yasiri moja No. yasimu moja .Hivyo yani ama nini
  12. D

    Umeuwona moyo?

    Kama umeuwona moyo wangu jinsi unavyo angaika kwa kudunda dunda kama kitenesi,nilikuwa naomba msichana yoyote aliyewahi kucheza lede audake moyo huuuuuuwooooo!!!
  13. D

    Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

    Mwigulu hivi hujui"mtumzima huwa hatishi nyau" Watananza nia wezangu kama mnavyo shuhudia maneno ya viongoz wa c£m hawana hoja za kuli jenga taifa ,hebu wasikile hata Bungeni jinsi wanavyo ongea utumbo tu! Eti "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" maisha bora kwavitisho kumbukeni wa Tz wamezinduka
  14. D

    Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

    MFANO mzuri ilainategemea waliwauwa vipi kwa bahati mbaya au kikatili (kimafi) shaka kuna walakini.Lakini hata kwa logic ya kawaida mfano; Jirani yako anapokushauri ukae chini mzungumze na watu waliowaua wazazi wako,ndugu na jamaa utajisikiaje?
  15. D

    Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

    Hao nimafisadi wanataka kufisadi hadi uhai wamtu eti salatani nyingi nyingi gan? "HUWO NI MKONO WA MTU"
Back
Top Bottom