MHESHIWA;
Kukodi shamba eka 1@50,000
Kulima eka 1@50,000
Mbegu eka 1. 1kg@6000×8=48,000
Kupanda eka 1@12,000
Mbolea DAP Mfuko 1@55,000
Palizi eka 1@40,000×2=80,000
Mbolea UREA kukuzia 1@40,000
Mbolea CAN kukuzia 1@40,000
Dawa ya wadudu 1@12,000
Kuvuna 1@15,000
Kupukuchua gunia 20@2,000=40,000...