Recent content by Da tall gal

  1. D

    JamiiForums Tanzania Je wafahamu methali za kichaga 5 kuhusu mwanamke?

    Shukrani
  2. D

    JamiiForums Tanzania Methali tano kwa kichagga zinazomuhusu Mwanamke

    Kwa lugha ya kichagga
  3. D

    JamiiForums Tanzania Je wafahamu methali za kichaga 5 kuhusu mwanamke?

    Habarini wana JF, Natumai ninyi ni wazima , naomba msaada kwa anaefahamu methali tano kwa lugha ya kichagga zinazomuhusu mwanamke na maana zake, ASANTENI
  4. D

    JamiiForums Tanzania Methali tano kwa kichagga zinazomuhusu Mwanamke

    Habarini wana JF, Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu ninayefanya uchunguzi kuhusu lugha: naombeni msaada wa methali tano kwa lugha ya kichagga zinazomhusu mwanamke na maana zake , ASANTENI
  5. D

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kufanya mapenzi mara kwa mara haya hapa

    Kwa ninavyojua mtoa post kakosea kwan sex ni mojawapo ya basic need to some people even though sio wote, hivyo bas pale mwili unapokuwa unahitaji ni muhimu kupata na ukiridhika it means unapumzika hadi utakapohitaji tena. Mtoa post acha kabisa mawazo yako
  6. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu mpenzi niliye naye

    Ok asante sana
  7. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu mpenzi niliye naye

    Bado sijaanzisha mahusiano na mtu mwingine
  8. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu mpenzi niliye naye

    Hakuna mjanja katika mapenzi ndio maana nikaamua kuomba ushauri
  9. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu mpenzi niliye naye

    Asante kwa ushauri wako
  10. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu mpenzi niliye naye

    Mimi ni msichana wa miaka 20 nipo Chuo Kikuu mwaka wa kwanza lakini nilitokea kuanzisha mhusiano na Mwanaume nikiwa form three. Nampenda na nimekuwa mwaminifu kwake toka nilivyoanzisha mahusiano naye. Lakini yeye alikuwa mbele yangu kimasomo na alivyomaliza kidato cha nne hakufanikiwa...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Tujadili tamko la Waziri wa Elimu kuhusu masuala ya udahili

    Kufika chuo kikuu hata kama umemaliza form six mpaka uwe na principle passes 2 kama hauna izo principal hapo ni ishu nyingine
Back
Top Bottom