Mkuu wa kituo cha polisi Wilayani Mafia ametumia ukuu wake kuwaamuru askari wake wote wakusanye kadi zao za kupigia kura na hatimae kuchukuliwa namba za kila kadi na hatimae wakarudishiwa kadi zao.
Vipi wanajamii hili sio bao la mkono kweli?
Nina Wasiwasi Na Upeo Wake Wa Kufikiri,kwani Hao Maaskofi Ni Raia Wa Tanzania So Wanayo Haki Wa Kutoa Maoni Pale Wanapoona Mtanzia Anakandamizwa Na Baadhi Ya Viongozi Wababe,hawakuongea Eti Kwasababu Ya Nyadhifa Zao
hv ccm wamepanga nini na wananchi wao hasa kwenye uchaguzi wa 2015,hongereni wadau kwa kuwatanua mawazo wananchi wa tz hasa kwa wale ambao elimu ze2 ni za kina kayumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.