Joseph Mbilinyi (Sugu) anastahili pongezi

Joseph Mbilinyi (Sugu) anastahili pongezi

Sugu ametumia ela za jasho lake na kuweka hizo computer, hizo barabara na madaraja ni ela za wananchi mimi na wewe

Kama ametumia hela za wananchi kwa maendeleo ya wananchi ndio tunachotaka sisi....

Sio nyie Ma CCM mnagawana hela za wananchi kama Vicoba..
 
Wanamwita sugu,
Tujumuike hapa wale wa mbeya mjini,tujadiri mema ya Sugu Rais wa Mbeya Mjini
 
msalani napenda kufahamu umri wako maana swali ulilouliza nina wasiwasi nalo. hahahahahahaha
 
Soko la mwanjelwa kuanzia anaanza ubunge mpaka leo halijaisha anavuta ganja tu hata hajali.
 
Mbona siwaoni hao wanafunzi hapo pichani?mnatufanya mazoba eeh!
 
nawaonea wivu sana wana Mbeya kwa kuwa na mbunge makini Sugu , sisi kwetu Kyela mbunge wetu anabadilisha suti tu .
 
Wanamwita sugu,
Tujumuike hapa wale wa mbeya mjini,tujadiri mema ya Sugu Rais wa Mbeya Mjini
kuna tetesi kwamba watu wa Mbeya mjini wamekubaliana kumkabidhi jumla Mh Sugu jimbo lao.
 
Back
Top Bottom