Aisee pole sana mkuu,
Ndoto ya kuota unarud shuleni ama unafanya mtihan na haumalizi au unakuwa stressed au unakutana na watu wa nyuma
sio nzuri, Hongera kwa kuwa na mind inayokukumbusha kuwa maisha yako hayako sawa
Kuota unadumbukia shimoni watu wanakutoa au haufiki chini ni Mind yako...
Ila lile swala la kusaini mikataba zaidi ya 10 kwa siku lina walakini, Ni kweli imesomwa kwa kina kwa muda stahiki?? au ni kumwaga wino tuu bila kujua baadae kitatukuta nini
Yani point kubwa ni kwamba inategemea na mfumo wa mwalimu, Ila sita ni position ya muhimu sana ambao wanakuwaga hawaonekani sana ukubwa wa kazi zao ila ndio muhimili wa timu
Namba 6 ni namba ngumu kama timu inatumia kiungo mkabaji mmoja, kwa sababu inatakiwa ushuke kwa namba 5 na 4 wakat wa kukaba kisha uchukue mipira wakat wa kutengeneza mashambulizi kisha umuangalie namba nane kumi au mawinga, Yani unakuwa kama punda timu ikiyumba tuu duarani lawama kwako
Namba...
Namba yangu mpya ya airtel zinaingia mesej za bili za maji na wamama wanapiga kuulizia ratiba za jumuia vikundi na mikopo,,,,,, Nimeifunga nimeachana nayo Ningejua bora ningetumia mbinu ya mshana Jr nawaambia karibu Mochwari tukuhudumie
Mkuu na ule utapeli wa kuuziwa kiwanja afu wanakuroga unasahau kila kitu kuhusiana na kiwanja chako, siku ukikumbuka unasema ntafuatilia kesho siku ukisema uende eneo ulilouziwa hukumbuki hata njia ya kuingilia hadi namba za dalali unasahau ulisave vipi[emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.