Kuna watu wanafikiri success is a zero sum game, ili yeye afanikiwe basi inabidi awashushe wengine au kusiwe na ushindani kabisa, tunawahitaji competent diasporas kwenye industries tofauti nchini kuleta ushindani.
After all hautakiwi kuogopa coz TZ economy is a rising tide, itabeba wote...
Inategemea mpo kwenye hatua gani ya mahusiano yenu, kama ni uchumba piga chini fasta huyo mtu, wote tunajua jukumu la kuhudumia mahusiano ni la mwanaume, kama hana mishe muda wake na akili yake yote awekeze kwenye kusimama kimaisha na sio mahusiano.
Unajua mwanamke hajaumbwa kuhudumia familia...
Raia wanavyotiririka inathibitisha jinsi gani huyu mwanamke alivyo toxic.
Ni wakati sasa Sugu apate custody ya binti yake kwa sababu mzazi mwenzie amethibitisha on numerous occasions to be an unfit parent.
Beca unafurahisha sana. First things first, all relationships are transactional. Hakuna mtu anayekuwa na mtu bila ya kutegemea something in return, iwe sex, money, status, good energy, peace of mind etc. Kingine tambua mapenz
Beca unafurahisha sana. First things fi
Beca unafurahisha sana...
Kuzaa na mtu ni hatua kubwa kwenye maisha, na si kitu cha kuchukulia poa kwa mtu makini, itapendeza hayo maamuzi yakiwa consensual la sivyo mmoja anaweza kuona kama amekuwa blackmailed.
Kuna wakati inabidi uwe mbinafsi ili ulinde maslahi yako, hauwezi kumuonea mtu huruma at your own expense...
Ukiona hauoni ufahari kuongozana na bonge lako, piga chini. Kwenye mapenzi hakuna kuoneana huruma kila mtu anaangalia maslahi yake.
Kwa sisi tusiowaelewa mabonge yani kudate bonge ni kama kudate demu mwenye mapengo.
Unafurahisha kweli, kwenye mahusiano hakuna kuoneana huruma, kila mtu anaangalia maslahi yake.
Ukiona mwanamke yupo na wewe kwenye msoto, we jua tu ww ndio level yake, anaowataka yeye hawamtaki, wanaishia kumchezea tu. Unazani angejaliwa uzuri na shape zaidi ya aliyokuwa nayo angeendelea...
Inafurahisha sana pale wanawake wanapofikiria wakiwa na kipato watapata mapenzi ya dhati only to find out guys love them for their paper and they hate it.
Mwanamke lilia uzuri sio kipato, wanaume watashindana kukuhudumia na kufanya maisha yako na ya uzao wako kuwa rahisi.
Ushauri wangu upo tofauti na wa wanaume wengi, si umesema nyumba na gari vipo kwenye jina lako? basi hakuna kurudisha, ndio ukumbusho wa penzi lenu, unapolipiwa kodi hama, kapange pengine. Mwanaume mwenye uwezo wa kukujengea nyumba, kukununulia gari na kukupeleka vacations bila kuwaza hawezi...
Kwani nini maana ya friends with benefits? Kwa kifupi mwanaume unapata sex bila ya kutoa benefits za relationships, iwe mitoko, zawadi, emotional attachments n.k
Friendzone, mwanamke anapata benefits za relationship without offering the sex.
Yaani icho kinamkera speaker mpaka anakiongea bungeni? Natamani kujua yeye alisomea nini.
Tusidanganyane, degree na vyuo havina thamani sawa kwenye soko la ajira na ata perception ya jamii.
Btw umegundua fani zote alizozitaja unahitaji leseni kupractice legally baada ya kupata degree yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.