cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,311
- 7,494
Kawaida inajulikana mwanaume ndio baba wa familia kuanzia huduma hadi ulinzi. Kama hana kazi, mkewe au mpenzie avumilie na kumhudumia mpaka atakapopata kazi au kibarua cha kumpatia pesa.
Lakini unaweza kuhudumia familia mpaka mwanaume akajisahau kuwa nini wajibu wake na ukahisi kuchoka kumhudumia.
Ni muda gani mwanaume apewe ili apate kazi au kibarua muda huo mwanamke ahudumie familia?
Lakini unaweza kuhudumia familia mpaka mwanaume akajisahau kuwa nini wajibu wake na ukahisi kuchoka kumhudumia.
Ni muda gani mwanaume apewe ili apate kazi au kibarua muda huo mwanamke ahudumie familia?