umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia
nilihitaji girl friend but nlisahau kuweka criterias(vigezo).vigezo ni viwili 2.navyo ni age iwe less than 24 yrs old, pili ni busara,hekima na utashi.contact ni ile ile 0782050530
'usiache ulichohitaji maishan, gafla ukafuata ulicho taman' (ielewe mitaa)by fid q. Mchaga alalimacho kwenye salary daima(chapchap or pure namba) by one the incredible. Ase hawa ndo mcz wanayo isimamisha hiphop bongo
pande zote za tz ukipokea cm ni swali kuhusu post za walimu wapya.jamani ukweli ni kwamba serikali imejipanga vyema kuwaburuza kwa kutumia ahadi batili hadi watakapo pitisha bajet nyingine.kuhusu bajeti ya mwaka jana muulize mbunge wako aliyeridhia fedha zako ziongezwe kwenye posho yake hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.