Nimeelewa, Kwa.kazi nzuri inayofanywa na serikali hilo deni bado ni dogo sana.ukifungua hiyo link utagundua tuko vizuri sana. Hongera sana Machali Kwa kutupa facts, Mimi huwa ni muumini wa facts. na porojo za akina Zitto
Hatua ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) – Taifa, kusoma hadharani barua aliyomuandikia Rais John Magufuli, imekebehiwa. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam … (endelea).
Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF – Taifa amekejeli hatua hiyo na kusema...
_Na Mwamba wa Kaskazini_
Bingwa wa masuala ya utatuzi wa migogoro duniani, Profesa William Zartman amewahi kueleza nadharia yake inayoshadidia wakati gani ni muafaka kuumaliza mgogoro unaoumiza pande zote mbili.
Katika nadharia yake aliyoiita “Mutual Hurting Stalemate,” Prof. Zartman anasema...
*Rais Dokta John Pombe Magufuli*
#Ndugu Watanzania,Kukaa meza ya Mazungumzo na Kigogo hiki Barrick,chenye msuli mkubwa wa uwezo na Ushawishi,haikua kazi rahisi.
#Nampongeza sana Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Profesa Paramagamba Kabudi,aliyeongoza timu ya Wataalamu...
WADHAMINI wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, wameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa wamemwandikia barua Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wakimuomba awasaidie kumleta mshitakiwa Lissu hapa nchini.
Mdhamini Robert Katula ameeleza hayo leo Januari 20, 2020 mbele...
Selasini amemwandikia barua Mbowe leo Januari 13 2020 na kuwapa Nakala ya barua hiyo Spika wa Bunge Job Yustimo Ndugai na Katibu wa Bunge Steven Kagaigai.
Selasini ameweka wazi sababu za kujiuzulu nafasi hiyo kuwa kukaimishwa kwa muda mrefu bila kuthibitishwa Japo hajawahi kuonywa kwa...
Leo ni siku muhimu kwa maendeleo ya taifa letu hasa kwa uwekezaji huu mkubwa uliozalisha ajira zaidi ya 200.
Miradi kama hii inadhihirisha tunajikomboa kiuchumi. Hoteli hii yenye hadhi ya nyota tano inachochea kukua kwa uchumi, hongera muwekezaji
Umenifurahisha umelipa kodi toka ulipoanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.