Leta walaka Wa katazo lakoHuna unachokijua na usirudie kuni quote
Leta walaka Wa katazo lakoHuna unachokijua na usirudie kuni quote
Unachoweza kufanya ni kuwapa maarifa wenzako hao ili nao watokeNavaa hali za relatives wangu
Tuwasubiri tu wachumi wanaweza kuja kutufafanulia hayo mahesabu yanakuwaje.Nimeuliza swali hilo hilo sijapata jibu. Kwa taratibu za kawaida za gawanyo la faida haingiii akilini kumiliki hisa 16% na gawio 50%.
Sidhani kama kuna utoto wowote kwenye waliyoyasema.Mna mtatizo ya kifikra na mnatawaliwa na utumwa wa mawazo. Poleni sana kwa kuonesha utoto kihoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini kuwa ni rahisi kumsadia mtu ambaye hajaanguka ili asianguke mfano msaada wa ada; ushauri wa vitu kusoma LAKINI ni ngumu sana kumsadia aliyeanguka anyanyuke na kusonga tena; utatumia nguvu kubwa sana utaishia kujutia.Unachoweza kufanya ni kuwapa maarifa wenzako hao ili nao watoke
..usd 191 billion tunazowadai ziko wapi?
..na kwanini tupewe asilimia 16 tu na siyo 50 au zaidi wakati madini ni yetu?
..na kwanini wameanza kupunguza wafanyakazi?
Rais ni sehemu ya bunge pia.Hayo makubaliano bunge la jamuhuri linayajua?
Tusije tukatafuta mchawi badae
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi waliotuwakilisha hapo wameisoma Sana.Ndio maana huwa twapigwa kwenye mikataba maana sisi twajua choronga sahihi tu. Wazungu wameisoma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli uliamini tunawadai US$ 191 Billion?..kupewa asilimia 50 bila kuwekeza chochote ni sawa hiyo? Tuache kuwa walalamishi kama wale waisrael waliofia jangwani sababu ya kushindwa kusema asante.
Tulioharibu haya mambo ni sisi wenyewe. Kurekebisha sio kazi rahisi kama kuandika haya maneno ya kejeli kwenye key board.
Shida hakuna kwa kushika. Wanasiasa wote ndio wale wale. Kam tunabisha tuwape uongozi. Afrika mambo bado sana
..usd 191 billion hatukuitoa vichwani vyetu. Viongozi, tena wanaojiapiza kuwa ni wacha mungu, ndiyo waliotoa madai hayo. Sasa sisi wananchi kwanini tusiwaamini viongozi wetu?
..pia umesikia kuwa MAKINIKIA nayo yataanza kusafirishwa? Unakumbuka mzee alidai dhahabu iliyopo kwenye makontena inatosha kujaza lori 7 za tipper, na landrover 1? Je, makinikia yatauzwa kwa bei ya KIZALENDO au yatauzwa kwa bei ya MABEBERU?
..Walioharibu ni serikali na wabunge wa CCM. Wapinzani na wanaharakati waliwaonya mapema tangu miaka ya 90 wakati mkataba wa kwanza wa migodi mikubwa unasainiwa. Tundu Lissu na Rugemeleza Nshala walifunguliwa kesi kwa sababu tu walikuwa wanaieleza jamii mapungufu ya sheria na mikataba ya madini.
Leo kawa mkweli kuwa Barrick walitumia busara na uwezekano mapendekezo yote walitoa wao Barrick na serikali wakaamua kubali yaisheWalau wamesema ukweli sio umahiri wa negotiators wa team Tanzania; ni busara za Barrick tu, wangetaka kwenda mahakamani kama ACCACIA walivyokusudia mziki ungekuwa mwingine.
Yanaanza safirishwa kuanzia leoMakanikia yanasafirishwa au yanabaki na kubembuliwa hapa au Japan?