Kwani chuo ni masomo muda wote saa 1 asubuhi mpaka saa 2 usiku kila siku Jumatatu hadi Ijumaa?
Ni mipango tu, kuna watu wanafanya kazi za kuajiriwa, bado wanasoma na kitabu kinaenda vizuri tu.
Hata ngozi nyeupe hizo ni kazi wengi wanazofanya kujikimu wakati wanasoma. Nimeosha nao vyombo sana, kuwa servers migahawani, kufanya delivery, babysitting, kutembeza mbwa na paka, nk. Kusema hii ni kutojitambua kwa ngozi nyeusi ni kuonesha hujui mambo yanaendaje huko nje.
Kama mtu amewahi kuuguza mgonjwa wa figo, ini, nk ataelewa wanachopitia. Kuishi na magonjwa ya hivyo viungo ni mateso. Tufanye yote yanawezekana kuvitunza.
Matukio kama haya si ya kibinadamu kabisa, lakini kusema yako huku Afrika tu ni kutokujua na kushindwa kufuatilia matukio yanayoendelea mabara mengine.
Nikufahamishe tu kwamba kuna maeneo Afrika na hasa Tanzania tuna afadhali mno. Unyanyasaji wa kijinsia na watoto upo sana Amerika, mauaji ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.