Recent content by Cyb

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Takwimu zipo nyingi. Ni wapi nimejustify mauaji? Kujibu mtu kwamba hao anaowasifia nao wana matatizo yao ni ku-justify?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Matukio kama haya si ya kibinadamu kabisa, lakini kusema yako huku Afrika tu ni kutokujua na kushindwa kufuatilia matukio yanayoendelea mabara mengine. Nikufahamishe tu kwamba kuna maeneo Afrika na hasa Tanzania tuna afadhali mno. Unyanyasaji wa kijinsia na watoto upo sana Amerika, mauaji ya...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Angellah Kairuki: Matumizi ya Internet yameongezeka kwa asilimia 19.5, watumiaji wafikia Milioni 58.9

    Kama mtu mmoja ana simu mbili wanahesabu watumiaji wawili.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa tuache unguchiro

    Sasa mkuu, si utueleweshe ni wapi hatujakuelewa kuliko kurudia rudia tu kwamba hatuelewi na hatutoi hoja za maana?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Nimepiga Ban hawa members mpaka tarehe 11 /5 /2026

    Hizo zote ni ID zako.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Zimbabwe imekataa msaada wa Dola za Marekani Milioni 367

    Hata kama wanaweza, wazipate kwa jasho na siyo kupewa on a silver platter.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Mahakama kujadili ombi Jamhuri kuongeza ushahidi wa ziada leo Februari 23, 2026

    Kumbe ni maneno ya wakili? Nilidhani ni reporter ndio amesahau.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Filamu gani ulioni ni mbovu na haumshauri mtu mwengine kuiangalia?

    Absolution Movie mbovu kabisa.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Filamu gani ulioni ni mbovu na haumshauri mtu mwengine kuiangalia?

    Ni kati ya series nilizozielewa sana. Labda ni zile flashbacks zilikuwa zinachanganya.
  10. C

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa kwenye basi narudi nyumbani Dar kutokea Morogoro; kupitia spika za basi nilikuwa nasikia wimbo uliokuwa na maneno haya kwa uchache: "Akisema atakubariki, Hakuna atakayezuia, Kwani yeye ndiye Mungu, Mwenye baraka zote." Muimbaji ni yule aliyeimba pia "Naliaaa...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Sawa mtu mzima. Udini mnautumia huko mbogamboga kwa anayeikosoa hii serikali yenu, kwani kila mkosoaji ni Mkristo? Wakosoaji Waislamu nao ni wadini?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Hizi propaganda za udini zimepitwa na wakati. Tafuteni chaka lingine la kujificha.
  13. C

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Jangwani kunajengwa Soko la Machinga au Uwanja wa Mpira?

    Kigali kuna park wamejenga kwenye eneo kama hilo la Jangwani. Hawa viongozi wanavyozunguka huko nchi za watu sijui kwa nini hawajifunzi na kuona umuhimu wa kuwa na vitu kama hivi.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Ushauri ushauri Kuhusu RAV4 1st Gen aka Mkulima

    Naam TD42 ziko vizuri pia.
Back
Top Bottom