Matukio kama haya si ya kibinadamu kabisa, lakini kusema yako huku Afrika tu ni kutokujua na kushindwa kufuatilia matukio yanayoendelea mabara mengine.
Nikufahamishe tu kwamba kuna maeneo Afrika na hasa Tanzania tuna afadhali mno. Unyanyasaji wa kijinsia na watoto upo sana Amerika, mauaji ya...
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa kwenye basi narudi nyumbani Dar kutokea Morogoro; kupitia spika za basi nilikuwa nasikia wimbo uliokuwa na maneno haya kwa uchache:
"Akisema atakubariki,
Hakuna atakayezuia,
Kwani yeye ndiye Mungu,
Mwenye baraka zote."
Muimbaji ni yule aliyeimba pia
"Naliaaa...
Kigali kuna park wamejenga kwenye eneo kama hilo la Jangwani. Hawa viongozi wanavyozunguka huko nchi za watu sijui kwa nini hawajifunzi na kuona umuhimu wa kuwa na vitu kama hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.