Sikia nikupe akili ili ucwe mby,mwambie jamaa amfanyie baby wake suprise aje bila information then mpitishe maeneo husuka ajionee mwenyw aamue kunyoa au kusuka akijua nywele hazifai kusuka,ucseme lolote mapenz noma anaweza hisi unamtaka demu wake
Pole xana girl but nakushauri umrudie mpenz wako coz he have real lv to u,now days kumpata mume wakuoa na mwenye mapenz ya dhati jaribu kustart new page and forget about past look foward
Kijana biashara inaweza kukutia hasara coz hazitabiriki,tafuta kiwanja cha bei rahisi jenga nyumba mtakayoishi na ndugu yako then kiasi kilichobaki ndo ufanyie biashara onyo ucwekeze pesa yote kwny biashara
Nakuunga mkono,unaweza kusapp kweli ila kuchomoa ni mziki,yalinikuta nikiwa chuo km co kuwa makini ningerudia mwaka kwa tamaa za pesa,alinisaidia mtu kufuatilia kwa akili wakadai ni makosa ya typing kweli issue serious km hii utakuwaje mzembe kwny kuifanya then wakaguzi pia hawakuona hl kosa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.