kila binadamu ana hisia m cwez kumkataza yeye kunipenda nakubali ananipenda ila kwa alichofanya sawa sio kizur .na m nilimkatalia kwa sababu kwa ninavyofikiria mimi huwez kukaa na mpenz wako miez sita bila mawasiliano m narud tunakutana hajanambia kama anamtoto nakuja kusikia habari juu kwa juu tuu ndo namuuliza anasema ndio sawa bt kwann alinifcha mwanzoniiiii????? pili maishani mwangu cpend kuwa mke wa pili that's all NIMEMALIZAAAAAAA
kila binadamu ana hisia m cwez kumkataza yeye kunipenda nakubali ananipenda ila kwa alichofanya sawa sio kizur .na m nilimkatalia kwa sababu kwa ninavyofikiria mimi huwez kukaa na mpenz wako miez sita bila mawasiliano m narud tunakutana hajanambia kama anamtoto nakuja kusikia habari juu kwa juu tuu ndo namuuliza anasema ndio sawa bt kwann alinifcha mwanzoniiiii?????
pili maishani mwangu cpend kuwa mke wa pili that's all NIMEMALIZAAAAAAA
Jf is going places.
Upo sahihi kabisa JF facebook Tweeter na mitandaoni sio mahali pa kuja JIANIKANahitaji kujifunza kitu kutoka kwenye uzi huu kama nami naweza tena kuserebuka.Geez, vifua vina mambo mengi sana.
||"You were too young to understand"||
naweza kukumbusha baadhi ya mambo.
we mi kuwa na mtoto ulijuaje?
na kumbuka muda uliojua.
kumbuka nilikuambiaje juu ya sababu ya mimi kumpata huyu mtoto.
kila binadamu ana hisia m cwez kumkataza yeye kunipenda nakubali ananipenda ila kwa alichofanya sawa sio kizur .na m nilimkatalia kwa sababu kwa ninavyofikiria mimi huwez kukaa na mpenz wako miez sita bila mawasiliano m narud tunakutana hajanambia kama anamtoto nakuja kusikia habari juu kwa juu tuu ndo namuuliza anasema ndio sawa bt kwann alinifcha mwanzoniiiii????? pili maishani mwangu cpend kuwa mke wa pili that's all NIMEMALIZAAAAAAA
[/B]Dada hilo ndio Jibu
na umeepusha Ligi kwanini asitumie PM (Private Massege) ww ni mtangazaji na unategemewa na wengi huwezi jua unaweza pata na wewe vijana wa JF walio Single au huko Mjini kwako.
Hapa JF watakujenga au kukubomoa kabisa,naona unajua faida na hasara za kalamu / Mitandao (Publicity)[/ na msimamo cwez ludi nyuma mwenyew kataka kujianika bac acha tuu ila najua nn nacho kifanya
kila binadamu ana hisia m cwez kumkataza yeye kunipenda nakubali ananipenda ila kwa alichofanya sawa sio kizur .na m nilimkatalia kwa sababu kwa ninavyofikiria mimi huwez kukaa na mpenz wako miez sita bila mawasiliano m narud tunakutana hajanambia kama anamtoto nakuja kusikia habari juu kwa juu tuu ndo namuuliza anasema ndio sawa bt kwann alinifcha mwanzoniiiii????? pili maishani mwangu cpend kuwa mke wa pili that's all NIMEMALIZAAAAAAA
Mtoto na mwanamke mwingine sio uke wenza.Kitanda hakizai haramu.Kataa ndoa sababu ya mtoto uje uletewe mtoto ukiwa ndani ya ndoa na huyo atakaye kuoa.
Wewe Sema humpendi tu au mapenzi kwake yameisha na si kuongea swala la uke wenza wakati braza hapa amekuja hadharani kushow love kwako.U are looking for a perfect guy,nakushauri muumbe wako.Hakuna mtu mzuri kama ambaye kajifunza kwa vitendo na kajutia makosa na kuomba radhi
U have done enough braza,if she doesn't appreciate sio kesi wewe chapa lapa,acha atafute mme mwema ambaye hana mtoto na hatomfanya kuwa mke mwenza.
nilijua baada ya kumaliza masomo na nilijua kipindi huyo mkeo anamimba ckujua alijifungua lin bali nilikuja kusikia anamtoto tuachanen na hayo najua unanipenda bt angalia maisha yako mi siwez tena kurudi nyuma najua maumivu nilioyapata na nilikwambia uniache nijue msimamo wako kama kwel ww hukuwa na mtu isingekuwa raisi kukubali matokeo mapema vile lakin nilivogundua una mtu ambaye tayar ni mjamzito nikajua kwann tulikuwa hatuna mawasiliano ok cwez kuwa wako tena jenga maisha na huyoo ulienae m na ww tutabaki mafriend tu sawa eehhh .... hata nikisema nikurudie wewe bado huyo ulienae ataumia kwa sababu yangu na inaonesha yeye aanakupenda sana bac kuwa naye huyooo
Mtoto na mwanamke mwingine sio uke wenza.Kitanda hakizai haramu.Kataa ndoa sababu ya mtoto uje uletewe mtoto ukiwa ndani ya ndoa na huyo atakaye kuoa.
Wewe Sema humpendi tu au mapenzi kwake yameisha na si kuongea swala la uke wenza wakati braza hapa amekuja hadharani kushow love kwako.U are looking for a perfect guy,nakushauri muumbe wako.Hakuna mtu mzuri kama ambaye kajifunza kwa vitendo na kajutia makosa na kuomba radhi
U have done enough braza,if she doesn't appreciate sio kesi wewe chapa lapa,acha atafute mme mwema ambaye hana mtoto na hatomfanya kuwa mke mwenza.
OKEY NIMEKUSOMA kijana motto wake kwann asiendelee na huyo alienae mpka arudi kwanguuu
u nailed it bro kati ya watu wote waliochangia hapa wewe umeongea kitu cha maana sana sijui kama moreen atakuelewa
Pole uran,kaza moyo endelea na maisha mkuu. Unaweza kuelekeza moyo wako kwa mama mtoto na maisha yatasonga tu.
Tupo wengi wenye maumivu ya namna hii lakini tunapiga moyo konde na maisha yanaenda you can still be happy my brother.
||"You were too young to understand"||