Recent content by Cuscoo

  1. C

    Lijue serikali/baraza la mawaziri

    Nimeamua kuidadavua serikali na Baraza la Dr.Magufuli: Kwa Kifupi idadi ya Mawaziri na Naibu waziri ni 35, Kati ya hao: Prof - 4 PhDs - 7 Masters - 21 1st Degree - 1 Diploma + - 2 Pata undani wa elimu za baraza: Rais: Dr. John Pombe Joseph Magufuli - PhD(Chem&Maths) Makamu wa Rais: Samia...
  2. C

    Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

    By Mtimbo nyie watu mna matatizo sana na zitto! umeshakili hilo gazeti ni la team lowasa na lipo hapo kimkakati kwa nini usihisi labda sehemu aliyolipuliwa lowasa haikuwekwa hapo,!? hivi unategemea kabisa lowasa asemwe vibaya halafu mhariri wa gazeti hilo aiweke!? kushindwa kwako kuyaona...
  3. C

    Zitto awashambulia watangaza nia wa CCM

    Pia kuna gazeti la majira limemwandika hata Lowassa katika ile orodha, ila wasiwasi wangu nimeona jinsi alivyoandikwa Lowassa inadhihirisha Zitto hamutupii makombora kama anavyofanya kwa wengine, hapa anasema tu auambie umma yaliyojiri kwa kashfa ya Richmond kuwa akanushe kutohusika kwake kisha...
  4. C

    Lowassa inawezekana huna Parkinson's disease - PD

    MkamaP Kiongozi naona unataka kuleta debate isiyo na tija , huyu mtu clinic yake ni Ujeramani achana na India tuliyozoea, sasa Wajerumani wasijue hayo yote - you guys by Mkosamali!
  5. C

    Dkt. Magufuli arudisha fomu za udhamini kugombea urais mjini Dodoma

    Songa mbele kamanda Pombe Magufuli!
  6. C

    Dodoma: Kongwa wamkaribisha Magufuli wamdhamini

    Pambana kamanda mpaka kielewekee!
  7. C

    Mtizame Magufuli alivyopata wadhamini Iringa Vijijini

    Kaza buti Dkt.Pombe!
  8. C

    Mtizame Magufuli alivyopata wadhamini Iringa Vijijini

    Kama ni kweli anaenda kwa mtindo huu, atakuwa anawakosha watanzania!
  9. C

    Magufuli asomba wadhamini Mjini Morogoro

    https://m.youtube.com/watch?v=LofQGOS0bCM
  10. C

    Tujikumbushe (2004): Dkt. Magufuli aliahidi na kutimiza lami kutoka Mtwara mpaka Bukoba

    Magufuli kwa kuwa katika kazi zako unamtanguliza Mungu, hakika watanzania wanakuona na wanakuombea!
  11. C

    Nyota ya Magufuli, Muhongo ni zaidi

    https://m.youtube.com/watch?v=Pgv1bO3qqJg
  12. C

    Nyota ya Magufuli, Muhongo ni zaidi

    Hakika historia inawalinda!
  13. C

    Dkt. Magufuli akamilisha kupata wadhamini Zanzibar

    Siasa za bongo bwana mpaka basi!
  14. C

    Picha: Edward Lowassa mpaka kieleweke

Back
Top Bottom