Nimeamua kuidadavua serikali na Baraza la Dr.Magufuli:
Kwa Kifupi idadi ya Mawaziri na Naibu waziri ni 35, Kati ya hao:
Prof - 4
PhDs - 7
Masters - 21
1st Degree - 1
Diploma + - 2
Pata undani wa elimu za baraza:
Rais:
Dr. John Pombe Joseph Magufuli - PhD(Chem&Maths)
Makamu wa Rais:
Samia...
By Mtimbo
nyie watu mna matatizo sana na zitto! umeshakili hilo gazeti ni la team lowasa na lipo hapo kimkakati kwa nini usihisi labda sehemu aliyolipuliwa lowasa haikuwekwa hapo,!? hivi unategemea kabisa lowasa asemwe vibaya halafu mhariri wa gazeti hilo aiweke!? kushindwa kwako kuyaona...
Pia kuna gazeti la majira limemwandika hata Lowassa katika ile orodha, ila wasiwasi wangu nimeona jinsi alivyoandikwa Lowassa inadhihirisha Zitto hamutupii makombora kama anavyofanya kwa wengine, hapa anasema tu auambie umma yaliyojiri kwa kashfa ya Richmond kuwa akanushe kutohusika kwake kisha...
MkamaP
Kiongozi naona unataka kuleta debate isiyo na tija , huyu mtu clinic yake ni Ujeramani achana na India tuliyozoea, sasa Wajerumani wasijue hayo yote - you guys by Mkosamali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.