Recent content by Curtiz

  1. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha mpunga Morogoro

    wengine washaanza sahivi inategemea tu uliwahi au laaa….wengine kuanzia mwezi huu mwishoni au wa sita kabisaaaa
  2. Curtiz

    JamiiForums Tanzania NHC Kijichi hizi bei

    1600sqm hapa lazima iwe pembeni kidogo ya mji au sio?
  3. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Not flavoured one, plain one.
  4. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

    Sio majina umemix? Huyu ni patrick, wa sasa sio patrick....sule ulitaka maanisha??
  5. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia mkesha wa mwaka mpya Arusha: Ufuska wa kutisha, anasa, ulevi, matusi, na hekaheka zingine

    Uchafu mwingiii, kuna wale wanajinunulia vinywaji wenyewe mezani lakini wapo kikazi....kuna websites zao zile bei wanawekaaaa....alooooo maisha yanaenda resi mnoo
  6. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Nafukua: Kwanini Oktoba 29 kulikuwa na makundi mengi yasiyo rasmi yenye silaha yakiua raia? Ina amaana asilimia kubwa ya jeshi halikuunga mkono?

    Mpaka trafiki na sare zake alionekana kabeba manati ya urusi ile kubwa kubwa....tutafika tu
  7. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia mkesha wa mwaka mpya Arusha: Ufuska wa kutisha, anasa, ulevi, matusi, na hekaheka zingine

    Hapo ni bahati ujue, ila wengi vichaa ndio wengii...hata apo picnic unaeza okota mali safi unajua
  8. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

    Mashikolo mageni, mayoooo
  9. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

    Duuuh
  10. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia mkesha wa mwaka mpya Arusha: Ufuska wa kutisha, anasa, ulevi, matusi, na hekaheka zingine

    Apo the hub ni foreigners kama wote, watalii wengi hapo chuganii
  11. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Gazeti la The Sun la Uingereza linadai kuwa na ushahidi wa maiti kutupwa kwenye ziwa victoria

    Miili hufungwa vitu vizito
  12. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Niliyoyashuhudia mkesha wa mwaka mpya Arusha: Ufuska wa kutisha, anasa, ulevi, matusi, na hekaheka zingine

    Mdau hongera kwa huo unyumbulifu, hapo picnic kuna ile ya pembeni yake nayo XO ni balaa na nusu......kule ushuani the hub, the dons na zile zingine inabidi upite ukirudi. Chuga hiyo, chuga hiyooo
  13. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Ulevi wa Pombe ni salama zaidi kwa mwanaume kuliko ulevi wa ngono

    Sema sheria mkononi nayo ni uzembe ulipitiliza kwakweli...
  14. Curtiz

    JamiiForums Tanzania Ulevi wa Pombe ni salama zaidi kwa mwanaume kuliko ulevi wa ngono

    Tuache ngono wazee, leo siku ya kufurahi na familia ila foleni ya dokta ndio sherehe....kataa ngono zembe
Back
Top Bottom