Zitto ajiepushe na vyombo vya habari kwa kipindi hiki na ajiepushe na kujadili maamuzi ya CC ya Chadema.. Otherwise tutatilia shaka kabisa dhamira yake aliyotangaza kuwa atafuata itifaki za chama zote kulimaliza jambo lake! Aache kutafuta huruma kwa wananchi atafute huruma CC maana ndo...
Watanzania bado mna safari ndefu kufikia uhuru wa kisiasa, wengi fikra zenu ni mateka wa CCM! Mtatawaliwa sana na akina Majangili, Mafisadi na Mauza unga.. Grow up Rutashubanyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.