Kinana ni kimbunga akitokea cdm wanawewesekaa
Vifaranga wengi huwa na mawazo kama hayo ndiyo tatizo la vifaranga.Mleta mada kama great thinker hajatuambia kuna uhusiano gani kati ya kusomba watu na malori kutoka vijiji mbalimbali na kuangamizwa kwa upinzani
Wewe naona unakumbuka maroli ya mbowe aliyotaka kukiuzia chadema kwa milioni 500 tapeli mkubwa huyu.hv ww upo nchi kwani hujui ccm wanatumia malori na kugawa vijisenti na flana pamoja na kanga.acha fikra mgandisho badilika,tunahitaji viongozi bora wenye mtazamo na taswira nzuri ya inchi hii.
katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana ameuangamiza kabisa upinzani tunduma katika mkutano mkubwa uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi mwaka.
Nape jembe la chama alibebwa juu juu kama shujaa na pia mama migiro alishangiliwa sana.
Katika hali isiyo ya kawaida ccm imedhihirisha kukomaa kisiasa baada ya kuongea mambo ya msingi yenye kueleweka.
Naona msemo wa kinana ni kweli kwamba chama hadhi yake imerejea mara mia zaidi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ameuangamiza kabisa upinzani Tunduma katika mkutano mkubwa uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mwaka.
Nape Jembe la Chama alibebwa juu juu kama shujaa na pia Mama Migiro alishangiliwa sana.
Katika hali isiyo ya kawaida CCM Imedhihirisha kukomaa kisiasa baada ya kuongea mambo ya msingi yenye kueleweka.
Mleta mada sijui alikua amekunywa viroba