Recent content by Cucciolo mia

  1. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kuwa uume unaweza kuongezeka ukubwa baada ya balehe kuisha?

    Kwanini unataka kuongeza size ya uume? Unataka kumridhisha mke wako au ku boost ego yako wakati wa kufanya uhuni? Kama ni kumridhisha mkeo, you are enough. Kama ni kwaajili ya uhuni endelea kuteseka. Mwenye rambo ana muwa wake, na mwenye kipisi cha sigara ana kifuniko chake cha speedo...
  2. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Siku 33 za kufunga na kuiombea Ukraine

    Sawa Mkuu
  3. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Siku 33 za kufunga na kuiombea Ukraine

    Kuna watoto wa mtaani unawapita kila siku wamelala vibarazani usiku utafkiri huwaoni, hata kilo ya sukari hujawahi kugawa kwenye kituo cha yatima, kijijini kwenu wanakunywa maji sehemu moja na mifugo, mahospitalini jirani zako wanakufa kwa kukosa pesa ya huduma.......sijui nataka kusema nini....
  4. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kizazi hiki mbona hawana hofu ya Mungu jamani?

    Karne ya 21: Relationships with no purpose
  5. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mahabusu wengi kesi zao ni za kubambikwa, wenye hatia wanaachwa uraiani

    Nini maana ya kuwa kiongozi kama unakaa kuongea tu utafkiri uko kijiweni! We all know all these problems so what are you going to do about them?? Au we kazi yako ni kutukumbusha matatizo tuliyonayo kila siku! Too much talk no action! This woman should step down!
  6. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Bilionea Ally Edha Awadh atumia Mahakama kuzuia asiandikwe

    Post in thread 'Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo' Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo
  7. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo

    Hii Kesi iliishia wapi??
  8. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Bilionea Ally Edha Awadh atumia Mahakama kuzuia asiandikwe

    Hii Kesi iliishia wapi???
  9. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu naviona angani usiku huu baada ya umeme kukatika

    The nature of the universe is silence and darkness!
  10. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu naviona angani usiku huu baada ya umeme kukatika

    Kweli uumbaji unapendeza, mataa taa na makelele huwa yanaficha this good vibe I'm having right now. Sema bar yetu jirani inapiga ngoma za kizaramo sijui kimakonde, sio mbaya, good choice
  11. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

    Watu wanavyong'ang'ana na majaliwa despite the report kwakweli hii ni nchi ya mazombie!!!
  12. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Tuheshimu dini za wenzetu

    Most preachers don't practice what they preach
  13. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

    Samahani huyo dogo alikuwa anatapikia wapi???
  14. Cucciolo mia

    JamiiForums Tanzania Ulijifunza nini kupitia penzi lililopita?

    Lessons I got: Trust your instincts. If your heart signals NOPE about someone just run hata kama huja pinpoint shida ni nini hasa. I'm a better judge of character. Consistency. If they are not consistent they're not genuine. Run.
Back
Top Bottom