Siku 33 za kufunga na kuiombea Ukraine

Siku 33 za kufunga na kuiombea Ukraine

Wapendwa nachukua nafasi hii kutaja hadharani kuwa ni kipindi cha vita nchini Ukrain kuisha na mateso kwingineko yatokanayo na vita hiyo.

Mungu mwenyewe atawaua wote wanaohusika na kusababisha vita hivyo kabla ya kufika tarehe 01/1/2023.
Wote wanaowaombea Ukrain, USA, NATO na washirika wake kwa pamoja tufunge na kuomba ili vita iishe

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Tunskutakia mfungo mwema wa kuombes watu kifo amen
 
Kuna watoto wa mtaani unawapita kila siku wamelala vibarazani usiku utafkiri huwaoni, hata kilo ya sukari hujawahi kugawa kwenye kituo cha yatima, kijijini kwenu wanakunywa maji sehemu moja na mifugo, mahospitalini jirani zako wanakufa kwa kukosa pesa ya huduma.......sijui nataka kusema nini....
Ahsante kwa ushauri hawa huwa tunawapa pia huduma ya maombi lakini ni ushauri mzuri pia Mungu awakumbuke na baada ya UKRAIN tutawaandalia maombi mengi tu yataendelea na za shida zingine

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Ahsante kwa ushauri hawa huwa tunawapa pia huduma ya maombi lakini ni ushauri mzuri pia Mungu awakumbuke na baada ya UKRAIN tutawaandalia maombi mengi tu yataendelea na za shida zingine

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sawa Mkuu
images (22).jpeg
images (23).jpeg
 
unaacha kuombea nchi yako yenye majanga kibao unawaombea kwa u-special Ukra?

Mungu yupi huyo anayeombwa hajawaona wa-Congo na Wasomali wanavyoteseka miaka dahari?

Tuwe serious kdg...
Pia ni ushauri mzuri na hii inaonyesha kuwa utahitaji maombi mengi zaidi ila kumbuka biblia inasema mpende jirani yako kama nafasi yakl

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Kuna member mmoja anauliza kuwa tunawaombea watu kufa? Hapana. Mshahara wa dhambi ni mauti.
Sasa anaeepuka Mauti ni aliyetubu na kuacha , maelezo ya ndani nilisema akiacha na kutubu atapona na afanye haraka sana maana Mungu hutenda haraka la sivyo ni Mauti kwake

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
kuna group telegram linaitwa horror of war.
tuache masihara nyie warusi wanakufa jaman acha.
tuache tofauti zetu tuwaombee askar wa kirusi. yani ni wanakufa acha.

hivi jana nmeskia wanataka kufanya mobilizations nyingine.

kaaah!!! wanakufa jaman kama mbwa.
acha kushabikia vita na tuwaombee warusi wasife sana jaman.

nmeshindwa kuendelea na ile channel nmeleft in peace.
kama mbwa?

au nitupia picha zao nini. ?
ili mpate uchungu wa kuomba kama binadamu binafsi nimeguswa.

mkiona russia inatarget raia muwe mnaelewa.
hawana jinsi wanapitia maumiv makubwa sana ya kisaikolojia juu ya askar wao. walio kuwa mbolea.
kama bkhmut ndio paua kichwa kabisaaa.
pray for russians.
wanakufa wanakuja wengine wanakufa wanakuja wengine na wengine na wengine.

PUTIN stop killing your soldier
Mimi nasema waendelee kuchakazwa tu

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Wapendwa nachukua nafasi hii kutaja hadharani kuwa ni kipindi cha vita nchini Ukrain kuisha na mateso kwingineko yatokanayo na vita hiyo.

Mungu mwenyewe atawaua wote wanaohusika na kusababisha vita hivyo kabla ya kufika tarehe 01/1/2023.
Wote wanaowaombea Ukrain, USA, NATO na washirika wake kwa pamoja tufunge na kuomba ili vita iishe

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Wakati mnaiombea hiyo Ukraine, yule Rais wake mchekeshaji na hao wapuuzi wenzake wa NATO na Marekani kwa ujinga wao!

Sisi wengine tunamuombea afya njema Mbabe mwenzetu Vladmir Putin, ili aendelee kuwanyoosha hao wapuuzi, na wapenda chokochoko wote! No way out. Na ni vizuri tukavumiliana katika hili.
 
Wewe umeona watu wanaokufa ni huko Ukraine na Rusia pekee?
Huko juu nimesema kuwa hitaji la maombi ni mengi kwa sehemu kwingi kwa kadri tunavyokumbuka ni sahihi na pia hili ni kazi endelevu na baada kumaliza UKRAIN tutawafikia wengi huko kwingi

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Wapendwa nachukua nafasi hii kutaja hadharani kuwa ni kipindi cha vita nchini Ukrain kuisha na mateso kwingineko yatokanayo na vita hiyo.

Mungu mwenyewe atawaua wote wanaohusika na kusababisha vita hivyo kabla ya kufika tarehe 01/1/2023.
Wote wanaowaombea Ukrain, USA, NATO na washirika wake kwa pamoja tufunge na kuomba ili vita iishe

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app

Anza kujiombea wewe, ombea familia yako, huko ukraine hakuna anaekujua, kwahiyo ni kukosa akili kuombea wasiokujua wala kukuhusu, kwenye uislamu dua inayopokelewa ni ukiombewa na walau ndugu yako sasa huko hao ni ndugu zako kivipi?
 
Kwenye mada hii hatutaki malumbano maana lenye Fujo hakai Roho mtakatifu wa Mungu na hapa tunaemuomba ni Mungu hakuna cha muislam au mkristo wote tuunganeni tuombe japo maombi yote yatajibiwa kupitia Jina la YESU KRISTO MUNGU pamoja na binadamu

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Kufunga na kuomba kuanzia tarehe 30/11/2022 Mpaka tarehe 01/1/2023 muda kuanzia asubuhi hakuna kula mpaka jioni ya jua kuzama ndio tutakuwa tunakula.
Ukiwa utapenda kushiriki lakini una matatizo kiafya ambapo hauwezi kujizuia Kula basi unaruhusiwa Kula lakini shiriki maombi na kutwa panga kuomba sio chini ya mara 3.
Tafadhali usipange kukosa na ili tujijue kama nashiriki basi usiache ku comment ili tujijue wale ambao tutashiriki

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
PUMBAFU. Badala ujiumbee wewe mwenyewe na taifa lako kwa njaa na kukosa akili, wewe unatutangazia kuliombea kubwa la mahetani. Pumbavu
 
SI vitu vyote vinahitaji maombi God will never intervene in that war hapo ni kutumia akili na utashi tuliopewa, North Delta I repeat SI Kila kitu ni Cha kufanya maombi❗
 
wewe badala uombee kijijini kwenu umasikini upungue unaombea ukraine ambao hata hawakujui, panya wewe
 
Back
Top Bottom