Kwako mkuu wa mkoa, ningependa kuzungumza na wewe kuhusu kamati yako ya kutatua migogoro iliyopiga kambi Mabwepande
Sidhani kama unajua kwa kina uhalisia wa hali ya huku kimazingira na haki za wakazi wa huku namna walivyozipata, kinachotaka kutokea wewe na ofisi yako ndiyo mtakuwa wahusika wa...
Mbona unapayuka sana.huyo mwenye stori yake hajapayuka kama wewe,tujifunze kukosolewa unasema tatizo wabongo ,kweli wabongo tatizo na kwa staili hii tutaendelea kuwa tatizo daima
Inaweza kuwa ni mawazo yako ila kwa bahati mbaya au nzuri yakafafana na kitu nilichowahi kukiona,siyo kama sikukubali kwa utunzi wako la hasha nakukubali sana sana ila leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimesoma utunzi wako nikiwa sijafika mbele nikaweza kujua nini kinafuatia,ila bado ni nzuri tu.
Hiyo sehemu yako ya kwanza, hapo kufuatwa na huyo ndugu yake ofisini ,kubadirisha jina,kumuandikia no kwenye gazeti hadi kwenda kuona nae beak point mpaka kujinyonga ni sehemu ya series movie ya MAD MEN ni copy ,ila umejitahidi...
Wakati mabaga fresh wakikwambia(mabaga fresh ni chombo cha dola wapambe tulizaneni mtakula.Inspekta aHaroun anakwambia Goma linaposonga halihofii nguvu ya dola ..Huku prof J akiwauliza unique sistaz (masista duz midomo ya bata ni mlivyo au mnang'ong'a..nadhani hii ni staili nzuri zaidi kuliko ya...
Kweli kabisa mkuu..hiyo nilishuhudia mwenyewe wala si kuhadithiwa,jamaa alimwambia mkewe nakupata talaka moja ukajirekebishe kwenu..mke akamwambia nipe tatu zote,jamaa akampa kweli ,baada ya siku mbili mke akarudi analia na msamaha juu kuwa zilikuwa hasira,jamaa akamwambia sheria akaolewe na mtu...
Hiyo ni tabia..yaani kama.ngozi huwa haibadiriki kama unaweza kuvumilia kununiwa endelea nae ila kama upo kama mie niyependa kununiwa wala kununa..tafuta.njia yako..(sipendi kununiwa sababu siyo fundi mzuri wa kubembeleza)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.