Recent content by Cubana

  1. C

    Kwako Amos Makalla kuhusu kamati ya kutatua migogoro ya ardhi Mabwepande

    Kwako mkuu wa mkoa, ningependa kuzungumza na wewe kuhusu kamati yako ya kutatua migogoro iliyopiga kambi Mabwepande Sidhani kama unajua kwa kina uhalisia wa hali ya huku kimazingira na haki za wakazi wa huku namna walivyozipata, kinachotaka kutokea wewe na ofisi yako ndiyo mtakuwa wahusika wa...
  2. C

    Ushauri: Nimepoteza hisia kwa mke wangu, simtaki tena

    Nataka kuchangia ila hapo kuna vitu viwili,nini hasa tatizo kwako,ana mtoto kabla Na hakukwambia au hana nzuri unataka?
  3. C

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    Mbona unapayuka sana.huyo mwenye stori yake hajapayuka kama wewe,tujifunze kukosolewa unasema tatizo wabongo ,kweli wabongo tatizo na kwa staili hii tutaendelea kuwa tatizo daima
  4. C

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    Inaweza kuwa ni mawazo yako ila kwa bahati mbaya au nzuri yakafafana na kitu nilichowahi kukiona,siyo kama sikukubali kwa utunzi wako la hasha nakukubali sana sana ila leo ndiyo kwa mara ya kwanza nimesoma utunzi wako nikiwa sijafika mbele nikaweza kujua nini kinafuatia,ila bado ni nzuri tu.
  5. C

    Weekend Story! The Workaholics Silence

    Hiyo sehemu yako ya kwanza, hapo kufuatwa na huyo ndugu yake ofisini ,kubadirisha jina,kumuandikia no kwenye gazeti hadi kwenda kuona nae beak point mpaka kujinyonga ni sehemu ya series movie ya MAD MEN ni copy ,ila umejitahidi...
  6. C

    Kuandika majina ya Mwanamke kwenye mali sio mapenzi, ni ubwege

    Kamuulize Nyoshi Presidaa nini kilimkuta baada ya kufiwa Na Rukia Bruno..
  7. C

    Hivi kwanini wasichana wanapenda kununanuna sana hata bila sababu?

    Hapa tayari nishanuniwa.ukiuliza sababu haina kichwa wala miguu..na mimi nimejifanya sina habari nakula chupa zangu tu.wadada badirikeni hatupendi kununiwa.japo mnapendwa kubembelezwa...
  8. C

    Wasanii wanaoongoza kudiss wenzao

    Wakati mabaga fresh wakikwambia(mabaga fresh ni chombo cha dola wapambe tulizaneni mtakula.Inspekta aHaroun anakwambia Goma linaposonga halihofii nguvu ya dola ..Huku prof J akiwauliza unique sistaz (masista duz midomo ya bata ni mlivyo au mnang'ong'a..nadhani hii ni staili nzuri zaidi kuliko ya...
  9. C

    Tofauti 10 kati ya wanawake wanene na vimbaumbau hizi hapa

    Jibu la hapo 7 wanawake wembamba wana makelele bwana...mdomo hadi utakimbia nyumba..
  10. C

    Chunga sana ulimi wako mwanandoa

    Kweli kabisa mkuu..hiyo nilishuhudia mwenyewe wala si kuhadithiwa,jamaa alimwambia mkewe nakupata talaka moja ukajirekebishe kwenu..mke akamwambia nipe tatu zote,jamaa akampa kweli ,baada ya siku mbili mke akarudi analia na msamaha juu kuwa zilikuwa hasira,jamaa akamwambia sheria akaolewe na mtu...
  11. C

    Msaada: Nimekuwa addicted na kuzama chumvini! nashindwa kuacha!

    Nimesikia asilimia 90 ya kansa za koo zimetokana na kunyonya papuchi..siyo mimi ni takwimu za wenye taaluma yao...
  12. C

    Nimshaurije huyu rafiki yangu aache tabia za 'kichoko'?

    Imetoka hiyo ,ikirudi pancha.
  13. C

    Mpenzi wangu ana tabia za kujinunisha pale tunapogombana!

    Hiyo ni tabia..yaani kama.ngozi huwa haibadiriki kama unaweza kuvumilia kununiwa endelea nae ila kama upo kama mie niyependa kununiwa wala kununa..tafuta.njia yako..(sipendi kununiwa sababu siyo fundi mzuri wa kubembeleza)
  14. C

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Mimi mwenyewe matumizi ya shanga hasa siyajui ila nikikutana na mwanamke mwenye shanga napagawa ile balaaaa..
Back
Top Bottom