"Ukweli mchungu
Iwapo unawapenda watoto wako, tafuta biashara, si kazi, kwa sababu ukifa watoto wako hawawezi kurithi kazi yako, lakini wanaweza kurithi biashara yako. "Kiuhalisia, ukifa unafanya kazi, bosi wako atamtafuta mtu wa kuziba nafasi hiyo kabla hata hujazikwa. Iwapo familia yako...