Kwanini wake zetu hawatuamkii asubuhi?

Kwanini wake zetu hawatuamkii asubuhi?

Salamu ya Shikamoo ilishapitwa na wakati tangu enzi za utumwa zilipoisha!
Shikamoo maana yake “ niko chini ya miguu yako”
Baada ya utumwa kuisha hiyo salamu haina maana tena,
Lakini sasa jamii imekariri , mtu asipofanya hivyo ataonekana hana adabu!
Salamu zinazokubalika ni zile za kiimani matharan;
1. Asalam alyekum
2. Bwana asifiwe
n.k

Salamu nyingine ni za kawaida kutokana na majina
Mfano asubuhi ;
Umeamkaje? Umeshindaje n.k


Sent using Jamii Forums mobile app

Haha
Nimekumbuka nilishawai kuishi kwa mjomba wangu mmoja anataka kila siku asubui kabla hajatoka umsalimie na kila siku jioni kabla ya kulala kulala umsalimie.
Usipofanya hivyo hata mara moja ni ishara ya kukosa adhabu na ticketi yako ya kusepeshwa hapo ipo mbioni.
Ukifukuzwa wanasema kijana hana midhamu tumeshindwa kuishi na huyu mhuni.
Daah


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umelala usiku kucha huku kibamia chako kimesinyaa utafikiri mtoto wa mjusi. Mshiko wa maana hujaacha .unategemea shikamoo akupe nani?
 
Tanzania kumpa MTU salama ya shikamoo ni heshima kubwa sana
Hata watoto wadogo wanafundishwa kutoa salamu ya shikamoo kwa wakubwa..

Jambo la kushangaza sana ni pale hawa wake zetu ambao wengi tumewazidi umri.,na walikuwa wanatoa salamu za kuamkia b4 kuanza mahusiano.

Ila shikamoo uisha faster mkianza kudate,wapo wanaoendeleza ila wachache sana.

Hapa kwangu nimeuliza kwann haunipi salamu yangu jibu nililopewa ci mchezo..
Ananiambia ukitaka nikuamkie acha kunivua........

Wanamama embu tuambieni kwann lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muache avue mwenyewe. Halafu Haya mambo ya kuvuana ujue...... Ngoja niishie hapa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo la kushangaza sana ni pale hawa wake zetu ambao wengi tumewazidi umri.,na walikuwa wanatoa salamu za kuamkia b4 kuanza mahusiano.

Utawakuta eeeh, mtu na mke wake, wakitembea, kama baba na mwana!!!!!!
 
Hahahah Mr.wangu nae huwa ananiambia nimwamkieee jmn woiiiiiiiii shikamoo za wanae zinatosha[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida mwanamume anahitaji utii au heshima kutoka kwa mwanamke. Na mwanamke anahitaji upendo kutoka kwa mwanamume. Hivyo mpe heshima yake mumeo.
Ndiyo maana Neno la Mungu linasema katika Wakolosai 3:18 Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. 19 Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demu kila nikmpgia simu ananiamkia na nilivyo dogo janja napatwa na aibu!

wakati ukuta.
 
Back
Top Bottom