Ni muda sasa na tatizo limeanza kuwa sugu. Nikila nyama, Samaki, mayai au maziwa tumbo linanyonga sana. Mpaka inabidi nivue shati nilale kwenye tiles au sakafu ya baridi. Mpaka nikitapika ndo najisikia vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.