Watu tulilipishwa accomodation na stationary fees na wakasepa ,na tupo kimya.nimegundua ukipenda wanawake wengi ni shule tosha hakuna atakayekusumbua kishambashamba coz unausoma mchezo vizuri.
teh teh teh,mkuu umeniacha hoi,si ungewadai pesa zako au?
gharama ya kitumbua hiyo
Unaomba ushauri upi wa kuchulua vitu vizuri au wa mengine meng? Sasa tutakushauri vipi kwa hayo mengine mengi ambayo hukuyataja? Ok kwa kuchukua vitu vyako vizuri hiyo sio tabu unataka akachukue vya nani? ukimkuta na simu nzuri kanunuliwa utafurahi? na kwanini wewe ndo unataka vitu vizuri? wanawake uwaelewe wanataka vitu vizuri wewe unaweza kuwa na sim ya kawaida tu lakini wao kuonekana ni muhimu kwao. Kulalamika kwako malakwamala ndo kunapelekea akudharau.Mpambe mpenzio vinginevyo tafta cheap girls(call girls) ila hutapata heshima.Wadau mimi ninajambo ambalo mwenzenu nashindwa kulifafanua na kulipatia ufumbuzi suala lifuatalo, Nina girl friend wangu anapenda sana kuchukua kitu chochote kizuri atakacho niona nacho, mfano juzi kati kuna cm mpya nilinunua alichokifanya aliomba atumie kwa muda, licha ya kuwa ana cm yake. Tulikubaliana baada ya wiki mmoja airudishe, lakini cha kushangaza kila ninapomuomba hiyo cm hataki kunipa na muda huo huo anaibua ugomvi. Bt nashindwa kumuelewa kabisa kwani kitu chochote anachochukua huwa harudishi nikimwambia anaibua ugomvi. Namthamini sana, na ninajitahidi kumpa kilicho ndani ya uwezo wangu lakini kwa anayonifanyia nashindwa kuelewa lengo lake kwangu. Wakati mwingine ninafikiri kama haniheshimu na mengine mengi. Je hebu toeni mchango wenu wadau kuhusu hili.
Unataka kwenda peponi bila kufa ? Starehe gharama babaa! We ung'wenye tu! mtotoz kuchukua huo mchina tena uliofungwa ruberband mashtaka Jf ! Je? Sio tuliochukuliwa Corolla na tumekauka! Utatuweka fungu gani ?
Wadau mimi ninajambo ambalo mwenzenu nashindwa kulifafanua na kulipatia ufumbuzi suala lifuatalo, Nina girl friend wangu anapenda sana kuchukua kitu chochote kizuri atakacho niona nacho, mfano juzi kati kuna cm mpya nilinunua alichokifanya aliomba atumie kwa muda, licha ya kuwa ana cm yake. Tulikubaliana baada ya wiki mmoja airudishe, lakini cha kushangaza kila ninapomuomba hiyo cm hataki kunipa na muda huo huo anaibua ugomvi. Bt nashindwa kumuelewa kabisa kwani kitu chochote anachochukua huwa harudishi nikimwambia anaibua ugomvi. Namthamini sana, na ninajitahidi kumpa kilicho ndani ya uwezo wangu lakini kwa anayonifanyia nashindwa kuelewa lengo lake kwangu. Wakati mwingine ninafikiri kama haniheshimu na mengine mengi. Je hebu toeni mchango wenu wadau kuhusu hili.
unataka kwenda peponi bila kufa ? Starehe gharama babaa! We ung'wenye tu! Mtotoz kuchukua huo mchina tena uliofungwa ruberband mashtaka jf ! Je? Sio tuliochukuliwa corolla na tumekauka! Utatuweka fungu gani ?