zile nafasi zilikuwa na watu ni hivi kulikuwa na watu wanafanya kama casual labour then ili waajiriwe ilitakiwa nafasi zitangazwe so walifuata utaratibu huo wakutangaza ila walioajiriwa ndo hao waliokuwa wanafanya kazi humo.pole sana ndiyo tanzania yetu hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.