Nabii mkuu na msemaji wa serikali ya mbingu gani???!!!!
Wish siku ya hukumu ifike,tujionee vioja jinsi MUNGU atakavyowapa shit watu na mavyeo walivyojitwika..
Ila Mimi wizara ya ndani ya kichwa changu ipo kinyume kabisa kuihusisha hii scene na ishu ya mapenzi. Ila Kuna Jambo kubwaa linafanyika nyuma ya jukwaa.
Madirector na Sterling wanacheza na akili zetu.
ISHU Inaweza kuwa hivi.
Haya makanisa ya kuzuka hasa katika ulimwengu wa Sasa sio ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.