Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,845
- 7,415
.
Mi niko mzima. Nilikuwa na wasiwasi na wewe sana. Karibu tena!Hujakosea kabisa@Shimba ya Buyenze ni mimi.Niko mzima namshukuru Mungu khofu kwa wewe tu!!!
Anarudi wakati mwenzake anaondoka? Uwanja wa siasa umebadilika. Hakuna tena confrontational politics kama wakati wa Mwendazake. Mama anataka siasa za kistaarabu ambazo wengine hawaziwezi!Ngoja tuone mapokezi yatakavyo kuwa View attachment 2520433
Dr.Ndodi Alitoa madhara 47 ya nyeto cha kushangaza Kuna mwamba akapiga simu akisema"Dokta nimeskiliza vyema mafundisho yako ila jua aliyegundua Nyeto amegundua JAMBO jema nafkiri alikuwa na maono ya mbali Sana. What a vision? what a hero? Huyo ndio alostahiri Udokta mana hayupo ila maono yake yanaishi na kipindi chako uchwara hakitaiua nyeto kamwe"
View attachment 2519780
Kuna wanaodai kwamba ishu kama hizi zinakuwa staged ili kuupaka matope Ukristo; na ukifuatilia kiuhalisia hakuna kitu kama hicho.Hilo kanisa Tz lingefurika Kila Misa
View attachment 2519769
Mapacha wanaingia!
Not funny:Msinifokee tafadhali.
View attachment 2518613



Huyu naye vipi?
Dah!Hii ndio ilikuwa post ya mwisho ya Shimba ya BuyenzeTUMUOMBEE SANA
Wakuu tukutane kesho. Huu ni uzi mzuri. Tunakutana tunacheka na kufurahi. Hii ni muhimu sana hasa katika dunia hii ya sasa yenye upungufu wa upendo. Hatujuani humu bali tumekuwa kama marafiki sana.
Mkawe na Valentines Day nzuri. Na yote yafanyike kwa tahadhari. Mkilewa msiendeshe. Ngono ziwe salama kwa ambao hamjuani afya...Dunia....
As for me; it is go time - SDY style!View attachment 2517970
Ni kitabu gani hiki mkuu?we uliona wapi? anauliza Bwege!